Iceland ni Nchi ambayo ni Kisiwa kinachopatikana kaskazini mwa Dunia katikati ya Bahari mbili za Antarctic na Arctic. Mji wake Mkuu ni Reykjavik.
Nchi hii ina idadi ya watu wanaofikia 332,529 kwa takwimu za hivi Karibuni. Ni Nchi iliyokuwa koloni la Denmark Hadi tarehe 1/desemba/1918.
Nchi hii ina sifa adhimu zifuatazo:-
✓ Elimu na huduma za afya ni Bure.
✓ Hakuna magereza.
✓ Hakuna Jeshi. Ila ni mwanachama wa jumuiya za kijeshi za kimataifa kama NATO na OCSE
✓ Umeme ni Bure
✓ Watu Wala hawafungii magari ndani na hata nyumba zao Huwa hawalazimiki kuzifunga.
✓ Ndio Nchi pekee Duniani ambayo watu wake hupiga kura kwa mtandao (on-line).
Nchi hii ina idadi ya watu wanaofikia 332,529 kwa takwimu za hivi Karibuni. Ni Nchi iliyokuwa koloni la Denmark Hadi tarehe 1/desemba/1918.
Nchi hii ina sifa adhimu zifuatazo:-
✓ Elimu na huduma za afya ni Bure.
✓ Hakuna magereza.
✓ Hakuna Jeshi. Ila ni mwanachama wa jumuiya za kijeshi za kimataifa kama NATO na OCSE
✓ Umeme ni Bure
✓ Watu Wala hawafungii magari ndani na hata nyumba zao Huwa hawalazimiki kuzifunga.
✓ Ndio Nchi pekee Duniani ambayo watu wake hupiga kura kwa mtandao (on-line).