Maajabu ya Magufuli

Maajabu ya Magufuli

Unakuwa Waziri wa Uvuvi miaka 5,unajua idadi ya samaki wakubwa na wadogo, urefu wa ukanda wa maji, eneo la maji yaliyotuzunguka, unasahau kuwa hakuna kiwanda cha samaki hata kimoja Nchi nzima.

Unakumbuka hilo ukiwa Waziri wa Ujenzi. Maajabu ya siasa.


#OnlyinTanzania chini ya CCM.
vichwa maji wengi kweli, hivi na wewe unaamini kuwa aliposema hivyo alikuwa anamaanisha KIUKWELI kabisa kuwa ndo idadi kamili ya samaki waliopo??
 
Unakuwa Waziri wa Uvuvi miaka 5,unajua idadi ya samaki wakubwa na wadogo, urefu wa ukanda wa maji, eneo la maji yaliyotuzunguka, unasahau kuwa hakuna kiwanda cha samaki hata kimoja Nchi nzima.

Unakumbuka hilo ukiwa Waziri wa Ujenzi. Maajabu ya siasa.


#OnlyinTanzania chini ya CCM.

Jee viwanda vilivyopo Mwanza?
 
kujua kuna dagaa bilioni ni kazi ya afisa uvuvi wa kata lakin kazi ya waziri ni kujua hawa bilioni watabalilisha vipi maisha ya raia wanaokula ugali chunvi wakati dagaa bilioni wanaliwa ulaya.

ukiona mtu anajificha kwenye kichaka cha takwimu ni ishara ya ombe la mipango.
 
Back
Top Bottom