Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,368
Unakuwa Waziri wa Uvuvi miaka 5,unajua idadi ya samaki wakubwa na wadogo, urefu wa ukanda wa maji, eneo la maji yaliyotuzunguka, unasahau kuwa hakuna kiwanda cha samaki hata kimoja Nchi nzima.
Unakumbuka hilo ukiwa Waziri wa Ujenzi. Maajabu ya siasa.
#OnlyinTanzania chini ya CCM.
Unakumbuka hilo ukiwa Waziri wa Ujenzi. Maajabu ya siasa.
#OnlyinTanzania chini ya CCM.