Maajabu ya Magufuli ajifungia miezi miwili bila kusafiri nje ya nchi, awatumbua vigogo taasisi nyeti

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,536
581891_1019589304772194_6017698386458264691_n.jpg
 
Piga kazi ndg. Rais, kusafirisafiri hovyohovyo ni dalili mojawapo ya uzembe na ufujaji wa pesa ya umma pasi na sababu za msingi. Mwenye shida na wewe atoke huko aliko aje magogoni. na hiyo itaongeza heshima kwetu na kujiamini zaidi.
 
Back
Top Bottom