Mkudisingo
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 421
- 123
Jamani ndugu zangu, ni kipindi kirefu sasa kuna tubiashara tunanitokea situelewi yani nikikutana na saa yoyote ile ilimradi ni ya namba basi ni lazma nione saa na dk zimefanana in kiswahili or English mfano: 10:10 sa nne na dk kumi au saa tatu na dk tatu (3;3) ,5:5,au sa 5:11 yaani sa kumi na moja na dk kumi na moja ambayo hiyo hiyo ukipeleka kwa kiswahili ni saa tano na dakika kumi na moja.
Au ikishndwa hayo yote lazma iwe kamili nakuta sa 3:00...8:00.
Baadhi ya rafki zangu wanajua hili swala yani kila ikinitokea na nipo na mtu pembeni basi namstua oyaa cheki, mara ya kwanza walijua najifanyisha nafanya makusudi yaani nasubiri zikifanana halafu nawaonesha.
Wakati mwingine hadi natamani ningekuwa nafanya makusudi kweli lakini ukweli unaotisha ni huo.
Yaani nikitizama tu saa lakini nikiwa ktk hali ya kawaida tu nimekumbuka kuangalia ni saa ngapi basi nakutana na hali kama hiyo.
Anybody having an idea what does that means!! Mwenzenu imekuwa too much hadi naogopa labda nanyemelewa na kipaji cha uganga au utabiri Au nataka kufa.
Tafadhali maoni yako muhimu sana au hata kama hapa bongo kuna mtaalamu anayeweza kutafasiri antafasirie what's all these about.
Au ikishndwa hayo yote lazma iwe kamili nakuta sa 3:00...8:00.
Baadhi ya rafki zangu wanajua hili swala yani kila ikinitokea na nipo na mtu pembeni basi namstua oyaa cheki, mara ya kwanza walijua najifanyisha nafanya makusudi yaani nasubiri zikifanana halafu nawaonesha.
Wakati mwingine hadi natamani ningekuwa nafanya makusudi kweli lakini ukweli unaotisha ni huo.
Yaani nikitizama tu saa lakini nikiwa ktk hali ya kawaida tu nimekumbuka kuangalia ni saa ngapi basi nakutana na hali kama hiyo.
Anybody having an idea what does that means!! Mwenzenu imekuwa too much hadi naogopa labda nanyemelewa na kipaji cha uganga au utabiri Au nataka kufa.
Tafadhali maoni yako muhimu sana au hata kama hapa bongo kuna mtaalamu anayeweza kutafasiri antafasirie what's all these about.