Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,321
- 7,705
Nimepita hapa mgahawa wa Kilimanjaro Fast Food uliopo katikati ya Mombo na Korogwe nimejionea mambo tofauti. Kwanza msosi wao ni mzuri una hadhi na unaendana na hela unayolipa.
Pili, wahudumu wa hapa ni balaa ni wakarimu na wachangamfu, watoto ni wakali balaa halafu mbaya zaidi wana mikia ya hatari.
Yaani kila Mhudumu unamkuta ana INYE ya hatari mno wakanikumbusha Arusha Night Park ( Matak
Bar ).
Nikirudi kutoka ninakoenda nitapita hapo nichukue hata namba ya mmoja ikiwezekana niwarushie na picha maana Fahari ya Macho haifilisi Duka.
Pili, wahudumu wa hapa ni balaa ni wakarimu na wachangamfu, watoto ni wakali balaa halafu mbaya zaidi wana mikia ya hatari.
Yaani kila Mhudumu unamkuta ana INYE ya hatari mno wakanikumbusha Arusha Night Park ( Matak

Nikirudi kutoka ninakoenda nitapita hapo nichukue hata namba ya mmoja ikiwezekana niwarushie na picha maana Fahari ya Macho haifilisi Duka.