Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
- Thread starter
- #21
Karibu
Karibu
Ukristo ni msingi, ni sawa na muislamu asipotambuwa nguzo tano huyo siyo muislamu.Wakiristo na wasabato tofaoti yao nn?
Ukristo ni msingi, ni sawa na muislamu asipotambuwa nguzo tano huyo siyo muislamu.
Wasabato hawatambui utatu mtakatifu, halafu mtu ambaye si msabato wao wanaona kapotea wakati wao ndio wamepotea.
Basi wachungaji wenu wengi ni vimeo, wao nao wana propaganda ya kwamba Papa ndio mnyama 666 wakati ukweli unajurikana 666 ni yule utawala wa wakati huo wa Italy, ndio Yonana kwenye Ufunuo wa Yohana akamuandika kwa mafumbo.Mkuu ningefurahi kukuelezea ukweli kuhusu Sabato maana hii uliyosema hapa sio sahihi. Utatu mtakatifu ni moja ya nguzo yetu ya imani. Pia tunaamini sio wasabato tu watakaookolewa Mungu ana wateule wake wengi kwe madhehebu mengine. Tunaamini mafundisho ya Biblia na tunahimiza kuyashika kama Biblia inavoagiza. Hatuna mamlaka ya kuhukumu mtu kuwa kapotea au la hio ni Mungu mwenyewe anajua kwa kua ndie pekee anaweza kusoma siri za mioyo ya binadamu.
Mademu zao hovyooo kabisa ukikuahid game jua atakuja mtoto mdogo akismsindikizaaaaa
Anaye waambia walime tanga Wizi anaishi mvumi Dodoma anamtunza babu.Waendelee tu kulima tangawizi
Watu wanatumika kama ngazi, kuwaweka watu wale mema ya duniaAnaye waambia walime tanga Wizi anaishi mvumi Dodoma anamtunza babu.
2025 akalime tangawizi huko huko mvumi Dodoma
Sema we mwamba ni jau sana🤣Upo sahihi kusema dini yao ni ya Kisabato, maana siyo Wakristo hao.
Wasabato hawaamini nguruwe sio wakristo kabsa alisikika mlevi mmojaMkuu ningefurahi kukuelezea ukweli kuhusu Sabato maana hii uliyosema hapa sio sahihi. Utatu mtakatifu ni moja ya nguzo yetu ya imani. Pia tunaamini sio wasabato tu watakaookolewa Mungu ana wateule wake wengi kwe madhehebu mengine. Tunaamini mafundisho ya Biblia na tunahimiza kuyashika kama Biblia inavoagiza. Hatuna mamlaka ya kuhukumu mtu kuwa kapotea au la hio ni Mungu mwenyewe anajua kwa kua ndie pekee anaweza kusoma siri za mioyo ya binadamu.
Huo utatu ni kulingana na Biblia au kateskimoUkristo ni msingi, ni sawa na muislamu asipotambuwa nguzo tano huyo siyo muislamu.
Wasabato hawatambui utatu mtakatifu, halafu mtu ambaye si msabato wao wanaona kapotea wakati wao ndio wamepotea.
MyomboNi Kijiji chenye kabila la Wapare na dini ya Kisabato. Kipo juu sana kwenye milima ya Upareni yenye msitu mkubwa wa Shengena.
1. Kuanzia Ijumaa saa 10 hadi Jumapili huwezi kupata huduma muhimu za kijamii mfano usafiri wa basi, hiace au Costa.
Maduka yote hufungwa. Huwezi kupata huduma hata ya kununua mswaki au Wakala wa pesa.
Ni muda ambao watu hawafanyi kazi kabisa, hata kama ni kazi ya hela nyingi.
Wanaume wana wivu kupindukia juu ya wanawake, hata kama siyo mke wake, siyo mwanae, siyo ndugu yake. Wivu fulani wa ajabu sana.
Wananchi wakikuitikia Ndiyo, ni ya mdomoni tu, moyoni mwao ni hapana na wako na confidence ya kukukana live mbele hata ya kiongozi. Hata kiongozi mkubwa kugeukwa ni dakika sifuri.
Ni wakulima wazuri sana wa Tangawizi inayolimwe kwenye miteremko mikali sana.