Maajabu ya dunia

mmmmmmmmmmmmHH!!kweli tembeaa uone
 
jamaani ni maajabu kweli kuna sehemu oman pia kuna jabali lina kama mchongo wa mtoto na jengine mti vipo vitu kama hivyo...japo vya humu vimezidi,,,
 
Wale wakazi wa Kilimanjaro pia naamini wanajua mji unaitwa kifaru, upo baada ya kutoka Mwanga kama unaelekea Himo. Hiyo sehemu iliitwa hilo jina kwa sababu kuna mlima karibu na huo mji ambao una shape kama ya kifaru. So hata hapa Tz tuna maajabu kama hayo mengi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…