Maajabu ya Dunia [emoji2772]

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,292
Reaction score
2,614
Vipi unasema umeona Kila kitu kwenye hii Dunia basi nakuambia Kuna maajabu ujawahi kuyaona bhana

Kampuni ya MSCHF imetengeneza begi dogo zaidi ya Punje la Aragwe Yani sio poa [emoji16]



Begi ni dogo sana kiasi kwamba unaweza kuliangalia kwa kutumia microscope



begi Hilo limeuzwa kwa dollar za kimarekani [emoji383]63750 sawa na Tsh milioni mia moja na hamsini na Tatu laki tisa na elfu hamsini na sita za kitanzania na point point [emoji16]

Linaweza tumika kwenye fashion na shughuli mbalimbali. Ebu tuambie una la kusema lolote?

 
Ni ujinga tu. Mtengenezaji na mnunuzi wote wenda wazimu. Begi au badge? Na matumizi yake nini?
 
Shubaamiti! Ningekatafuna. Kana rangi nzuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…