OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
1. Anasema anafaa kuwa mrithi wa JK ikulu mwaka huu kwa sababu anaongea na Rais Kikwete na anamtembelea Ikulu karibu kila siku.
2. Anasema njia ya kumaliza tatizo la foleni Dar ni kujenga round about kwenye kila njia panda.
3. Anasema anaweza kuongoza nchi kwa sababu ana baraka zote za mizimu ya Wamwera na za Mwl Nyerere alizopatiwa mara baada ya kupiga magoti kwenye kaburi lake.
4. Anasema atatua kero za Watanzania wakati alishindwa kumshauri JK wanayezungumza kila siku kutatua kero za watanzania.
4. Anasema mwaka huu lazima aingie Ikulu hata kwa goli la mkono kwani ana baraka zote za ngazi ya juu.
5. Atawafunga wapokea rushwa wote na kuwasamehe watoa rushwa wote. Hii ni sheria ya Membe tu.
6. Membe ni mgombea wa kipekee ambaye kila anapotua kwenye mkoa wenye mgombea mwenzake anahaidi kumuunga mkono mwenzake
. Ameshamwahidi Makongoro Nyerere, Mark Mwandosya n.k huku akiwaponda wenzake.
Ikumbukwe mwanzoni alisema wote hawana sifa ya kuingia Ikulu isipokuwa yeye pekee. Huu ni ujasiri wa hali ya juu wa unafki uliopitiliza anaouonyesha Membe.
2. Anasema njia ya kumaliza tatizo la foleni Dar ni kujenga round about kwenye kila njia panda.
3. Anasema anaweza kuongoza nchi kwa sababu ana baraka zote za mizimu ya Wamwera na za Mwl Nyerere alizopatiwa mara baada ya kupiga magoti kwenye kaburi lake.
4. Anasema atatua kero za Watanzania wakati alishindwa kumshauri JK wanayezungumza kila siku kutatua kero za watanzania.
4. Anasema mwaka huu lazima aingie Ikulu hata kwa goli la mkono kwani ana baraka zote za ngazi ya juu.
5. Atawafunga wapokea rushwa wote na kuwasamehe watoa rushwa wote. Hii ni sheria ya Membe tu.
6. Membe ni mgombea wa kipekee ambaye kila anapotua kwenye mkoa wenye mgombea mwenzake anahaidi kumuunga mkono mwenzake
. Ameshamwahidi Makongoro Nyerere, Mark Mwandosya n.k huku akiwaponda wenzake.
Ikumbukwe mwanzoni alisema wote hawana sifa ya kuingia Ikulu isipokuwa yeye pekee. Huu ni ujasiri wa hali ya juu wa unafki uliopitiliza anaouonyesha Membe.