AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Mara nyingi ajali zinazowahusu polisi...huwaga hazina taarifa za ziada...pale inapotokea gari ya polisi imepata ajali yenyewe...wala hawasemi labda chanzo cha ajali ni UZEMBE WA DEREVA(Askari Mwenyewe)...AU MWENDOKASI...
Unakuta taarifa ambazo hazina hata maana...eti alikuwa anaenda kwao...sasa kwani akiwa anaenda kwao ndio iwe sababu ya ajali...?
Unakuta taarifa ambazo hazina hata maana...eti alikuwa anaenda kwao...sasa kwani akiwa anaenda kwao ndio iwe sababu ya ajali...?