Maajabu saba ya dunia

Maajabu saba ya dunia

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
(1)musa alikata bahari ya sham kwa fimbo
(2)yesu alitembea juu ya maji
(3)yesu alifufua wafu
(4)yesu aliponya vipofu wakaona
(5)yesu alilisha watu elfu 5 vipanda 3 vya mkate wakala na wakashiba
(6) yesu alifufuka baada ya siku 3 kutoka katika wafu
(7)mkojo wa tundu lisu wapatikana na kosa la uchochezi baada ya vipimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maajabu yaliyopatika kwenye mkojo wa tundu lisu jana,ingekuwa ni enzi za maandiko ya vitabu vya kihistori,majibu ya uchochezi yaliyopatikana kwenye wa vipimo vya mkojo tundu lisu yangebaki kwenye historia ya vitabu milele na milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatari Sna Mkojo Unachochea Uchochezi,only In Tz
 
Back
Top Bottom