twiga kusafirishwa kwa ndege siajabu kwakuwa kuna ndege kubwa zinazotumika kusafirishia mizigo.ila kwa hili la ndege ya malaysia ndio linapaswa kuwekwa kwenye rekodi ya maajabu ya dunia.
Hivi kila nikijiulizaga kwa haya yooote madudu ya ccm, watanzania sijui wanaipendea nini, jaman watanganyika wenzangu tuamke hiki chama kitatucheleshea maendeleo wapendwa ohooo!!
twiga kusafirishwa kwa ndege siajabu kwakuwa kuna ndege kubwa zinazotumika kusafirishia mizigo.ila kwa hili la ndege ya malaysia ndio linapaswa kuwekwa kwenye rekodi ya maajabu ya dunia.
Hivi kila nikijiulizaga kwa haya yooote madudu ya ccm, watanzania sijui wanaipendea nini, jaman watanganyika wenzangu tuamke hiki chama kitatucheleshea maendeleo wapendwa ohooo!!