GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,275
- 6,621
SILENT leo umenichekesha, yaani vitu vyote alivyopost mzizi mkavuAtampata mme, japo nadhani baadae atamwacha na kutoa tangazo jingine la kutafuta mme
hujaona sehemu ya KULIKE na Ku-COMMENT isipokuwa kwa huyo anayetafuta
Mume tu!
Hata hivyo Mzizi kafanya kazi nzuri ambayo imewafanya watu wasome kwa makini
na kwa muda mrefu ndio maana wanashindwa hata Ku comment na kulike.
Ahsante mzizi Mkavu.