Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,974
- 13,429
Mkuu Hii juisi yake unalimenya au Na maganda yake? Unaongeza sukari ama? Naomba kujuzwa.Tango ni kitu cha ajabu sana, kuna mda niliamua kunywa juisi yake grasi kama 5 hivi usiku nilipata shida sana, kila nikishtuka nilikuwa nakuta nimelowa chapa chapa kama vile nimetoka mtoni. Mwanzo sikuelewa lakini nikagundua hii hari ilikuwa inatokea kila nilipkuwa nikitumia ile juisi ..nahisi inafanya kazi kubwa sana mwilini.
Tena usijaribu mimi mwenzako ninakula kila siku na nina kufa kila siku. kwa kulila hilo tango na Asali.nasikia na nimesikia zaidi ya mara 4 kuwa ukila tango na kulamba asali unakufa.
je hii imekaaje wataalam ufafanuzi plz nn huwa sumu na kwanini??
Kuna siku nilikata tongo vipandevipande nikavitia kwenye maji nikaviacha nusu saa kisha nikaoga.Jamani nilipendeza kama binti ilibakia kidogo nitongozwe.
nilijaribu jana kutengeneza nikachanganya na asali mbichi je nayo inaleta mshkeli au inatakiwa yenyewe kama yenyewe, vile vile una group lolote la whatsapp unalifahamu la kufahamishana mambo ya vyakula na hasa hii tiba mbadala, nitashukuruchumvi ni kemikali nyingine,itaenda kuleta mushkel,nakushauri usiitumie
Unaposema kuloa sijaelewa kivipi yani,jasho au, na juice yenyewe tupu au unachanganya na maji, nifahamishe mkuu
nasikia na nimesikia zaidi ya mara 4 kuwa ukila tango na kulamba asali unakufa.
je hii imekaaje wataalam ufafanuzi plz nn huwa sumu na kwanini??
Hebu fafanua kwa red ​Tena usijaribu mimi mwenzako ninakula kila siku na nina kufa kila siku. kwa kulila hilo tango na Asali.
a ha ha hahaKuna siku nilikata tongo vipandevipande nikavitia kwenye maji nikaviacha nusu saa kisha nikaoga.Jamani nilipendeza kama binti ilibakia kidogo nitongozwe.
ha haha haTena usijaribu mimi mwenzako ninakula kila siku na nina kufa kila siku. kwa kulila hilo tango na Asali.
kaka wazushi tu mie jana mbona nimengeneza juice ya matango na nikachanganya na asali nimekunywa na nipo ngangari tu mpaka sasa hivi nakunywa na asubuhi nimeimalizia hapa nipo kazini fresh, basi ningekufa jana usiku
Hebu fafanua kwa red ​
Mkuu huon hyo red ina tatizo.. Yan unakufa kila siku??
Kuna siku nilikata tongo vipandevipande nikavitia kwenye maji nikaviacha nusu saa kisha nikaoga.Jamani nilipendeza kama binti ilibakia kidogo nitongozwe.