castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,793
- 3,212
Hiyo ndo kichwa cha mwendawazimu...karibu tz
Nchi imejaa uhuni mwingi sana. Lazima watanzania tubadilike tutetee taifa letu.1. Mgombea urais wa CCM ni halali japo walivunja katiba yao.
2. Mgombea wa ACT ni batili amevunja katiba yao.
3. Mgombea wa chadema ni mhaini yuko jela.
4. CCM mbele kwa mbele.
Zitto alishajua. Na si ajabu walishakaa mezani na ccm na Msajili wakaweka dili. Mwisho wasiku Samia anagombea mwenyewe.1. Mgombea urais wa CCM ni halali japo walivunja katiba yao.
2. Mgombea wa ACT ni batili amevunja katiba yao.
3. Mgombea wa chadema ni mhaini yuko jela.
4. CCM mbele kwa mbele.
Kwa uoumbavu huo we ni hasara kwa Taifa. Umachanganya vt visivyo na uhusiano. Mpina hakuwa mwanachama wa ACT-Wazalendo kuna uhusiano gani na Samia. Nyie kila kt ni lialia1. Mgombea urais wa CCM ni halali japo walivunja katiba yao.
2. Mgombea wa ACT ni batili amevunja katiba yao.
3. Mgombea wa chadema ni mhaini yuko jela.
4. CCM mbele kwa mbele.
Alilamba asali mkuuKwani yule mama wa Act aliyezunguka nchi nzima akitwambia atagombea imekuwaje tena
Hatimaye Tanganyika ikuwa nchi ya maajabu yasiyowezekana yanawezekana...1. Mgombea urais wa CCM ni halali japo walivunja katiba yao.
2. Mgombea wa ACT ni batili amevunja katiba yao.
3. Mgombea wa chadema ni mhaini yuko jela.
4. CCM mbele kwa mbele.
Zitto alimuuza!Kwani yule mama wa Act aliyezunguka nchi nzima akitwambia atagombea imekuwaje tena
Kwani ACT si ni CCM B?
Vipi tena kukatana?
Ni kweli lakini Mpina alikuwa hatanii ,CCM tu aliwapiga spana sasa kwa maza ulitegemea angemuchekea?Kwani ACT si ni CCM B?
Vipi tena kukatana?
Ndiyo maana imebidi watumie msajili (Monalisa) kama walivyofanya kwa Chadema.Ni kweli lakini Mpina alikuwa hatanii ,CCM tu aliwapiga spana sasa kwa maza ulitegemea angemuchekea?
Hakuna kinachosikitisha hapo,yote kawaida tuInasikitishasana!
Jamaa wanalazimisha kutawala.1. Mgombea urais wa CCM ni halali japo walivunja katiba yao.
2. Mgombea wa ACT ni batili amevunja katiba yao.
3. Mgombea wa chadema ni mhaini yuko jela.
4. CCM mbele kwa mbele.
1. Mgombea urais wa CCM ni halali japo walivunja katiba yao.
2. Mgombea wa ACT ni batili amevunja katiba yao.
3. Mgombea wa chadema ni mhaini yuko jela.
4. CCM mbele kwa mbele.
Ng'ombe wa mamaKwa uoumbavu huo we ni hasara kwa Taifa. Umachanganya vt visivyo na uhusiano. Mpina hakuwa mwanachama wa ACT-Wazalendo kuna uhusiano gani na Samia. Nyie kila kt ni lialia
Mgombea wa chauma mkewe anautaka ubunge wa ccm kwa jasho na damu. Hahahahaa1. Mgombea urais wa CCM ni halali japo walivunja katiba yao.
2. Mgombea wa ACT ni batili amevunja katiba yao.
3. Mgombea wa chadema ni mhaini yuko jela.
4. CCM mbele kwa mbele.
Kwani akiwa mgombea wa Chauma mkewe haruhusuwi kuwa CCM?Hoja muflis sana.Mnatumia nini kufikiri?Au ndio herd thinking?Mgombea wa chauma mkewe anautaka ubunge wa ccm kwa jasho na damu. Hahahahaa
Kwa akili yako mnemba ww unaona ina make sense,Kwani akiwa mgombea wa Chauma mkewe haruhusuwi kuwa CCM?Hoja muflis sana.Mnatumia nini kufikiri?Au ndio herd thinking?