Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 10,403
- 12,094
Asante Mkuu kuliona hili jambo..
Uvivu na uchoko ulioko kwenye taasisi/idara za serikali (umma) ndo maana nchi haiendelei na tunazidi kudharaulika...
Huo ni mfano mmoja tu kuhusu taarifa muhimu kwenye kurasa za tovuti mbali mbali...
Njoo sasa kwenye mawasiliano ya e-mail (barua pepe)... Utaandika kadha wa kadha lakini kamwe hutajibiwa kitu...
Hata kwa suala la dharura wao watataka uende mwenyewe ofisini au upeleke barua kwa njia ya posta... Aibu sana!!
Uvivu na uchoko ulioko kwenye taasisi/idara za serikali (umma) ndo maana nchi haiendelei na tunazidi kudharaulika...
Huo ni mfano mmoja tu kuhusu taarifa muhimu kwenye kurasa za tovuti mbali mbali...
Njoo sasa kwenye mawasiliano ya e-mail (barua pepe)... Utaandika kadha wa kadha lakini kamwe hutajibiwa kitu...
Hata kwa suala la dharura wao watataka uende mwenyewe ofisini au upeleke barua kwa njia ya posta... Aibu sana!!