Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,819
Aisee Nimeshangazwa sana na Jakaya Mrisho Kikwete Foundation imeanza Leo hata nafasi za wafagiaji hazijatoka Dah hii ndiyo Tanzania nimeona wejumbe wa Bodi yake Ina
-Ombeni Sefue
-Rwekaza Mukandara
Mi Mwenzenu nataka Kujimaliza Nimesha Give Up kitaa hata Kufanya Kazi bure mabosi hawataki nimeshaenda kama Halmashauri 4 nifanye kazi Bure imeshindikana.
-Ombeni Sefue
-Rwekaza Mukandara
Mi Mwenzenu nataka Kujimaliza Nimesha Give Up kitaa hata Kufanya Kazi bure mabosi hawataki nimeshaenda kama Halmashauri 4 nifanye kazi Bure imeshindikana.