Maajabu 7 ya mapenzi ya kibongo

Maajabu 7 ya mapenzi ya kibongo

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
22,477
Reaction score
21,023
1. Wanawake wawili marafiki wakutane halafu wakae mahali bila kuongea umbea,labda wawe mabubu

2. Msichana wa Miaka 30 kuwa bikira kizazi hiki halafu anakaa Sinza

3.Mke wa ndoa asikuombe hela ya matu...mizi,labda uoe mtoto wa Bakhresa

4.Utoke na Girlfriend outing ajilipie bili zote

5.Mwanaume amwambie msichana mmoja tu I love you only,na iwe ni kweli yuko yeye peke yake

6.Msichana atoke kwenda kwenye kUdeti bila Make-Up

7.Kukuta Bibi Harusi sio mjamzito au kama sio awe bikira,kizazi hiki cha watoto wa JK
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaa naongeza 8. Kuambiwa na boy/girl friend wako kuwa upo peke yako wakati siyo kweli
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaa naongeza 8. Kuambiwa na boy/girl friend wako kuwa upo peke yako wakati siyo kweli

Ok..hilo nalo ni kweli!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
uongo mtupu, mbona watu wengi wanaoa wanawake ambao si wajawazito, pia kuna wanawake wanakwenda out na cost yote juu yake, bikira mbona wanapatikana tena wakiwa above 30yrs.
 
Majungu wanawake kibao wanaolewa bila ujawauzito research yako haijajitosheleza
 
hata jf wapo above thirty na mabikira
 
uongo mtupu, mbona watu wengi wanaoa wanawake ambao si wajawazito, pia kuna wanawake wanakwenda out na cost yote juu yake, bikira mbona wanapatikana tena wakiwa above 30yrs.


umeamua tu kubisha hii.............
 
1. Wanawake wawili marafiki wakutane halafu wakae mahali bila kuongea umbea,labda wawe mabubu

2. Msichana wa Miaka 30 kuwa bikira kizazi hiki halafu anakaa Sinza

3.Mke wa ndoa asikuombe hela ya matu...mizi,labda uoe mtoto wa Bakhresa

4.Utoke na Girlfriend outing ajilipie bili zote

5.Mwanaume amwambie msichana mmoja tu I love you only,na iwe ni kweli yuko yeye peke yake

6.Msichana atoke kwenda kwenye kUdeti bila Make-Up

7.Kukuta Bibi Harusi sio mjamzito au kama sio awe bikira,kizazi hiki cha watoto wa JK


Kama umechukua sindano ya moto kisha ukawa unagusisha gusisha kwenye kidonda kile chekunduuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom