mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,023
1. Wanawake wawili marafiki wakutane halafu wakae mahali bila kuongea umbea,labda wawe mabubu
2. Msichana wa Miaka 30 kuwa bikira kizazi hiki halafu anakaa Sinza
3.Mke wa ndoa asikuombe hela ya matu...mizi,labda uoe mtoto wa Bakhresa
4.Utoke na Girlfriend outing ajilipie bili zote
5.Mwanaume amwambie msichana mmoja tu I love you only,na iwe ni kweli yuko yeye peke yake
6.Msichana atoke kwenda kwenye kUdeti bila Make-Up
7.Kukuta Bibi Harusi sio mjamzito au kama sio awe bikira,kizazi hiki cha watoto wa JK
2. Msichana wa Miaka 30 kuwa bikira kizazi hiki halafu anakaa Sinza
3.Mke wa ndoa asikuombe hela ya matu...mizi,labda uoe mtoto wa Bakhresa
4.Utoke na Girlfriend outing ajilipie bili zote
5.Mwanaume amwambie msichana mmoja tu I love you only,na iwe ni kweli yuko yeye peke yake
6.Msichana atoke kwenda kwenye kUdeti bila Make-Up
7.Kukuta Bibi Harusi sio mjamzito au kama sio awe bikira,kizazi hiki cha watoto wa JK