kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,142
- 3,189
Habarini za muda huu, poleni na miangaiko na ongereni kwa kuendelea na sherehe za sikukuu hii ya mapinduzi kwa bashasha za kutosha
Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa kuanza na stori kwa ufupi
Nina Dada yangu ambaye ameajiajili hapa jijini dsm, alikutana na bwana mmoja uko kazini kwake akamueleza kuwa kuna ndugu yake ambaye anatafuta sehemu ya kujishkiza (ambae ni mimi).
Yule bwana akadai ilo halina shaka, ngoja aende mbeya kikazi kwanza uku akilifanyia mchakato ilo swala (maana alidai kuwa anafanya kazi nyanda za juu uko)
Alipatiwa mawasiliano yangu, na alinitafuta na kuniomba nimtumie Cv yangu kwenye email yake, nilifanya ivyo kwa uwaraka bila kusita, muda huo alishakuwa ameondoka dsm na yupo mbeya kikazi kama alivyodai
Baada ya takribani mwezi kupita aliwasiliana na Dada yangu kuwa anakuja dsm, kwaiyo aliomba waonane, Dada yangu akasema sawa ila akataka kujua kuwa zoezi langu limefikia wapi la kutafutiwa iyo kazi, yule bwana akasema kuwa mpango unaendelea vizuri.
Akadai kuwa ana Dada yake yupo iringa ni HR kwenye shirika flani ambalo sio la ki-serikali kwaiyo ndio amempa izo document azifanyie mchakato
Tarehe 5, mwezi huu alimtafuta Dada angu kwa njia ya simu na kumuomba aende akaonane nae hoteln na kudai kuwa mkataba wa kazi ameshatumiwa kwenye e-mail yake so aende ili akampatie, Dada yangu akamuambia kama kweli huo mkataba ametumiwa kwenye e-mail kwanini asinutumie tu nika-print nikajaza
Note: hapa ndipo dada angu aliisi jambo la tofauti (aliisi kuwa uyo mtu uenda ana lake jambo)
Baada ya dada angu kuwa mgumu kwenda kuonana nae uko hotelini alipodai
Tarehe 9, yule bwana akanitumia huo mkatata nikauona, akanipa maelekezo kuwa niujaze vizuri ila masharti ya kuurudisha ni lazima dada yangu haupeleke yeye hotelini alipofikia (maana anadai yupo Dar kwenye semina)
Kweli nili print na kuujaza vizuri kabisa, ila issue ikawa ni kuupeleka huo mkataba maana dada angu kwenda ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa maana ameshamuona uyo mtu ana nia tofauti
Na uyo bwana hataki kabisa nimpelekee huo mkataba Mimi anataka dada yangu ndio apeleke, anadai asipopeleka basi anampigia simu dada yake ambae ni HR amuambie basi kuhusu iyo kazi
Maswali tunayojiuliza mpaka sasa ambapo naombeni msaada wa ushauri wenu:
1. Je kuna uwezekano wa huu mkataka kuwa forgery ili atimize matakwa yake?
2. Je kuna uwezekano wowote wa mimi kuupeleka huu mkataba, uko kwenye iyo shirika?
3. Je kama nikipeleka na mkataba ukawa ni feki, siwezi ingia kwenye matatizo?
4. Je kama ni kweli huo mkataba, je naweza kupeleka na jamaa akamuambia uyo Dada yake na nikakosa kazi?
Note: mimi binafsi nimembembeleza sana jamaa anisaidie ila wapi
Note: huo mkataba pia nimeujaza ila unanipa mashaka kwenye signature ya HR mwishoni, na address ya kampuni hawajaweka mkoa inapopatikana ilo shirika wala namba za simu za ilo shirika ila vitu vingine vyote vipo
Naombeni ushauri wa mawazo yenu mapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa kuanza na stori kwa ufupi
Nina Dada yangu ambaye ameajiajili hapa jijini dsm, alikutana na bwana mmoja uko kazini kwake akamueleza kuwa kuna ndugu yake ambaye anatafuta sehemu ya kujishkiza (ambae ni mimi).
Yule bwana akadai ilo halina shaka, ngoja aende mbeya kikazi kwanza uku akilifanyia mchakato ilo swala (maana alidai kuwa anafanya kazi nyanda za juu uko)
Alipatiwa mawasiliano yangu, na alinitafuta na kuniomba nimtumie Cv yangu kwenye email yake, nilifanya ivyo kwa uwaraka bila kusita, muda huo alishakuwa ameondoka dsm na yupo mbeya kikazi kama alivyodai
Baada ya takribani mwezi kupita aliwasiliana na Dada yangu kuwa anakuja dsm, kwaiyo aliomba waonane, Dada yangu akasema sawa ila akataka kujua kuwa zoezi langu limefikia wapi la kutafutiwa iyo kazi, yule bwana akasema kuwa mpango unaendelea vizuri.
Akadai kuwa ana Dada yake yupo iringa ni HR kwenye shirika flani ambalo sio la ki-serikali kwaiyo ndio amempa izo document azifanyie mchakato
Tarehe 5, mwezi huu alimtafuta Dada angu kwa njia ya simu na kumuomba aende akaonane nae hoteln na kudai kuwa mkataba wa kazi ameshatumiwa kwenye e-mail yake so aende ili akampatie, Dada yangu akamuambia kama kweli huo mkataba ametumiwa kwenye e-mail kwanini asinutumie tu nika-print nikajaza
Note: hapa ndipo dada angu aliisi jambo la tofauti (aliisi kuwa uyo mtu uenda ana lake jambo)
Baada ya dada angu kuwa mgumu kwenda kuonana nae uko hotelini alipodai
Tarehe 9, yule bwana akanitumia huo mkatata nikauona, akanipa maelekezo kuwa niujaze vizuri ila masharti ya kuurudisha ni lazima dada yangu haupeleke yeye hotelini alipofikia (maana anadai yupo Dar kwenye semina)
Kweli nili print na kuujaza vizuri kabisa, ila issue ikawa ni kuupeleka huo mkataba maana dada angu kwenda ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa maana ameshamuona uyo mtu ana nia tofauti
Na uyo bwana hataki kabisa nimpelekee huo mkataba Mimi anataka dada yangu ndio apeleke, anadai asipopeleka basi anampigia simu dada yake ambae ni HR amuambie basi kuhusu iyo kazi
Maswali tunayojiuliza mpaka sasa ambapo naombeni msaada wa ushauri wenu:
1. Je kuna uwezekano wa huu mkataka kuwa forgery ili atimize matakwa yake?
2. Je kuna uwezekano wowote wa mimi kuupeleka huu mkataba, uko kwenye iyo shirika?
3. Je kama nikipeleka na mkataba ukawa ni feki, siwezi ingia kwenye matatizo?
4. Je kama ni kweli huo mkataba, je naweza kupeleka na jamaa akamuambia uyo Dada yake na nikakosa kazi?
Note: mimi binafsi nimembembeleza sana jamaa anisaidie ila wapi
Note: huo mkataba pia nimeujaza ila unanipa mashaka kwenye signature ya HR mwishoni, na address ya kampuni hawajaweka mkoa inapopatikana ilo shirika wala namba za simu za ilo shirika ila vitu vingine vyote vipo
Naombeni ushauri wa mawazo yenu mapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app