Maafisa Usalama wa Ufaransa yamjibu Macron kwa kuwatuhumu kutoweza kutabiri mapinduzi Niger

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,722
29,084
Mzuka wanajamvi!

Shirika la kijasusi la Ufaransa (DGSE) sawa ama kama CIA ya marekani, MI6 Uingereza, Mosad Israel, Inter- Services Intelligence (ISI) Pakistan na our Beloved TISS yetu.

Limemjibu Macron aliyewalalamikia kwa kushindwa kutabiri (predict) mapinduzi ya kijeshi yaliotokea Niger mwishoni mwa mwezi uliopita. Na kupelekea kupinduliwa kwa rais Mohamed Bazoum.

bd73645da8badb670ca59f2ecd7202b8.webp.jpg


Macron rais wa ufaransa alililaumu shirika hilo la kijasusi kwa kutoweza kuangalia chochote kingetokea kabla ya mapinduzi.

Bernard Émié DG wa TISS ya ufaransa alishaonya na kutahadharisha toka mwanzoni wa mwaka huu Macron achukue hatua ya kutuma vikosi maalumu vya ufaransa vimlinde rais Banzoum aliyepinduliwa. Lakini macron akutekeleza kwa kuofoa ufaransa italaumiwa kwa kuwa wakoloni.
Bernard+EmieOLM_5404.jpg


Bernard Émié alizidi kueleza hata kabla masaa machache ya mapinduzi alitahadharisha tena mapinduzi yatatokea inabidi ufaransa itume special forces zimlinde rais wa Niger Macron akataa.

Ila inafahamila Macron na huyu DG Bernard hazipandi toka Macron aliposhinda kipindi chake cha pili cha urais. Sababu kubwa DG alitarajia kabisa kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje badala yake akapewa cheo cha ukuu wa usalama Ufaransa.

Badala yake macron akamteua mwana mama Catherine Colonna. Luwa waziri wa mambo ya nje Ufaransa.

Colonna_Catherine.jpeg


Wizara ya Mambo ya nje Ufaransa pamoja na wizara ya ulinzi imekanusha madai haya ya Bernard Émié kuwa alitahadharisha na kushauri kuhusu haya mapinduzi.

Bernard Émié ni kachero mbobezi na mwana diplomasia mzoefu anayeheshimika sana ufaransa. Ni Kama Somo wake Bernard Membe wetu Mungu amrehemu.

Katiba ya Ufaransa inampa nguvu Rais kuteua na kumfukuza kazi mkuu wa usalama wa taifa. Duru za chini chini za siasa ufaransa zinatabiri kibarua cha Bernard Émié kitaota nyasi hivi karibuni.

Senior JF local and international correspondent and political analyst
 
Mzuka wanajamvi!

Shirika la kijasusi la Ufaransa (DGSE) sawa ama kama CIA ya marekani, MI6 Uingereza, Mosad Israel, Inter- Services Intelligence (ISI) Pakistan na our Beloved TISS yetu.

Limemjibu Macron aliyewalalamikia kwa kushindwa kutabiri (predict) mapinduzi ya kijeshi yaliotokea Niger mwishoni mwa mwezi uliopita. Na kupelekea kupinduliwa kwa rais Mohamed Bazoum.

View attachment 2711149

Macron rais wa ufaransa alililaumu shirika hilo la kijasusi kwa kutoweza kuangalia chochote kingetokea kabla ya mapinduzi.

Bernard Émié DG wa TISS ya ufaransa alishaonya na kutahadharisha toka mwanzoni wa mwaka huu Macron achukue hatua ya kutuma vikosi maalumu vya ufaransa vimlinde rais Banzoum aliyepinduliwa. Lakini macron akutekeleza kwa kuofoa ufaransa italaumiwa kwa kuwa wakoloni.
View attachment 2711152

Bernard Émié alizidi kueleza hata kabla masaa machache ya mapinduzi alitahadharisha tena mapinduzi yatatokea inabidi ufaransa itume special forces zimlinde rais wa Niger Macron akataa.

Ila inafahamila Macron na huyu DG Bernard hazipandi toka Macron aliposhinda kipindi chake cha pili cha urais. Sababu kubwa DG alitarajia kabisa kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje badala yake akapewa cheo cha ukuu wa usalama Ufaransa.

Badala yake macron akamteua mwana mama Catherine Colonna. Luwa waziri wa mambo ya nje Ufaransa.

View attachment 2711153

Wizara ya Mambo ya Ufaransa pamoja na wizara ya ulinzi imekanusha madai haya ya Bernard Émié kuwa alitahadharisha na kushauri kuhusu haya mapinduzi.

Bernard Émié ni kachero mbobezi na mwana diplomasia mbobezi anayeheshimika sana ufaransa. Ni Kama Somo wake Bernard Membe wetu Mungu amrehemu.

Katiba ya Ufaransa inampa nguvu Rais kuteua na kumfukuza kazi mkuu wa usalama wa taifa. Duru za chini chini za siasa ufaransa zinatabiri kibarua cha Bernard Émié kitaota nyasi hivi karibuni.

Senior JF local and international correspondent and analyst
Turudi kwenye mada mkuu.

Inaonekana Macron ana shida kubwa sana katika swala zima la mawasiliano na watu wa usalama.
turudi nyuma wakati wa mvutano kati ya Rais Macron na Mkuu wa Idara ya Usalama wa nchi hiyo, Patrick Calvar, ule wa mwaka 2016, wakati Calvar alipotoa ushahidi mbele ya kamati ya bunge kuhusu vitisho vya ugaidi na ujasusi. Calvar alionya kuwa Ufaransa ilikabiliwa na hatari ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kutokana na migogoro ya kisiasa na kidini, na kusema kuwa alitaka kujiuzulu baada ya uchaguzi wa rais wa 2017. Alidai Macron, ambaye alikuwa mgombea wa urais wakati huo, alikuwa hana uzoefu wa masuala ya usalama na alikuwa anapuuza hatari zilizopo.

Macron, ambaye alishinda uchaguzi huo, alimshutumu Calvar kwa kutoa matamshi yasiyo ya kitaalamu na yasiyo na msingi, na kumtuhumu kwa kujaribu kuingilia siasa. Macron alisema kuwa Calvar alikuwa anajaribu kuchochea hofu na chuki miongoni mwa Wafaransa, na kumwita kuwa ni mkuu wa idara ya usalama asiye mwaminifu. Haikuishia hapo, Macron alimfuta kazi Calvar mwezi Juni 2017, na kumteua Laurent Nunez kuwa mkuu mpya wa idara hiyo.

Mvutano huo ulizua mjadala mkali nchini Ulmwao ambapo maswali yalikuwa ni kuhusu jukumu la idara ya usalama katika kulinda taifa dhidi ya vitisho vya ndani na nje, na pia kuhusu uwajibikaji na uwazi wa maafisa wake. Baadhi ya wachambuzi walimuunga mkono Calvar, wakisema kuwa alikuwa anatoa onyo la kweli na la muhimu kuhusu hali ya usalama nchini mwao. Wengine walimuunga mkono Macron, wakisema kuwa Calvar alikuwa anavuka mipaka yake ya kitaaluma na kujaribu kuathiri matokeo ya uchaguzi.

Hebu tuachane na mgogoro wa Macron na Calvar. Ila tuondoke na Macron, tukamkutanishe na Bernard Emie.

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, na Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Nje la Ufaransa (DGSE), Bernard Emie, wamekuwa na mgogoro mkubwa tangu mwaka 2018. Mgogoro huo unahusu masuala ya uongozi, usalama, na siasa za kimataifa. Hii ni historia ya mgogoro huo:

Emie alikuwa balozi wa Ufaransa nchini Uturuki kuanzia mwaka 2007 hadi 2011. Alipokuwa huko, alishuhudia uhusiano kati ya Ufaransa na Uturuki ukizorota kutokana na tofauti za kihistoria, kidini, na kijiografia.

Emie aliteuliwa kuwa balozi wa Ufaransa nchini Algeria kuanzia mwaka 2014 hadi 2017. Alipokuwa huko, alisimamia kuboreshwa kwa uhusiano kati ya Ufaransa na Algeria yakiboreshwa katika nyanja za kiuchumi, kijamii, na kiusalama.

Bernard aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa shirika la ujasusi la nje la Ufaransa (DGSE) mnamo Julai 2017. Alipokuwa huko, alikabiliwa na changamoto za kusimamia shirika hilo katika mazingira magumu ya kimataifa, hasa kuhusu masuala ya ugaidi, uhamiaji, na ushindani na washirika wa Ufaransa. Emie pia alijaribu kuboresha uhusiano na shirika la ujasusi la ndani la Ufaransa (DGSI), ambapo mashirika haya mawili, yaani DGSI na DGSE yalikua na msigano kuhusu mipaka ya majukumu yao. Emie alikuwa akifanya kazi kwa karibu na rais Macron, ambaye aliamuamini sana wakati huo na kumtetea dhidi ya shutuma za wapinzani wake.

Macron alifanya mageuzi katika sekta ya ujasusi mwaka 2018, ambayo yalipunguza nguvu na uhuru wa DGSE. Macron alitaka kuunda idara mpya ya usalama wa kitaifa (CNR), ambayo ingesimamia mashirika yote ya ujasusi ya Ufaransa. Macron pia alitaka kuongeza ushirikiano na washirika wa Ulaya na Marekani katika masuala ya ujasusi.

Bernard Emie alijiuzulu kama balozi wa Ufaransa nchini Uturuki mwaka 2020, kutokana na mvutano kati ya Ufaransa na Uturuki. Mvutano huo ulitokana na masuala ya kidini, kisiasa, na kijeshi, hasa kuhusu mzozo wa Libya, Syria, na Nagorno-Karabakh. Emie alihisi kuwa Macron alikuwa anachukua msimamo mkali dhidi ya Uturuki, ambayo ilikuwa mshirika muhimu wa NATO.

Bernard alianza kujitenga na Macron baada ya kurudi Paris mwaka 2020. Emie alihisi kuwa Macron alikuwa anampuuza ushauri wake na kumtumia vibaya kwa maslahi yake binafsi. Emie pia alitofautiana kimtazamo na Macron juu ya masuala kadhaa ya kimataifa, kama vile Libya, Iran,l na Syria, na Libya. Emie alianza kushirikiana na wanasiasa wa upinzani na wanahabari, na kutoa habari za siri juu ya shughuli za ujasusi za Ufaransa.

Emmanuel Macron aliamua kumtolea uvivu Emie mwaka 2021 kwa kuchukua hatua kadhaa.

Hatua ambazo Macron aliamua kumchukulia Emie mwaka 2021 ni kama ifuatavyo,

- Alimfuta kazi mkuu wa shirika la ujasusi la ndani la Ufaransa (DGSI), Laurent Nunez, ambaye alikuwa rafiki wa karibu wa Emie. Macron alidai kuwa Nunez alikuwa anashirikiana na Emie kuvujisha habari za siri na kuhujumu sera zake za usalama.

- Macron alimteua mshauri wake wa usalama, Pierre de Bousquet de Florian, kuwa mkuu mpya wa idara ya usalama wa kitaifa (CNR), ambayo inasimamia mashirika yote ya ujasusi ya Ufaransa. Macron alimpa de Bousquet de Florian jukumu la kumchunguza Emie na washirika wake, na kumfungulia mashtaka ikiwa itahitajika.

- Alitishia kumvua Emie cheo chake cha mkurugenzi wa shirika la ujasusi la nje la Ufaransa (DGSE), ikiwa atagundulika kuwa anahusika na uhalifu wowote wa ujasusi au uhaini. Macron pia alisema kuwa atamwajibisha Emie kwa matendo yake mbele ya bunge na umma.

Hatua hizi zilizua hasira na critics kutoka kwa baadhi ya maafisa wa ujasusi, ambao walimuunga mkono Emie na kumtetea dhidi ya madai ya Macron. Wengine walimuunga mkono Macron, wakisema kuwa Emie alikuwa anakiuka maadili na sheria za ujasusi, na kwamba alikuwa anatishia usalama wa taifa.

Mgogoro huo pia ulitikisa uhusiano kati ya Ufaransa na washirika wake wa kimataifa, hasa Marekani, ambayo tangu awali ilishuku mwenendo wa Emi na iliitarifu Ufaransa kuhusu uwezekano wa Emie kuja kutoa siri maadui wa Ufaransa na hivyo kuiathiri Ufaransa na NATO.

Taarifa hii imeletwa kwenu Kwa msaada wa vyanzo mbalimbali vya habari vipatikanavyo hapa Tandika Kaburi Moja.
 
Mzuka wanajamvi!

Shirika la kijasusi la Ufaransa (DGSE) sawa ama kama CIA ya marekani, MI6 Uingereza, Mosad Israel, Inter- Services Intelligence (ISI) Pakistan na our Beloved TISS yetu.

Limemjibu Macron aliyewalalamikia kwa kushindwa kutabiri (predict) mapinduzi ya kijeshi yaliotokea Niger mwishoni mwa mwezi uliopita. Na kupelekea kupinduliwa kwa rais Mohamed Bazoum.

View attachment 2711149

Macron rais wa ufaransa alililaumu shirika hilo la kijasusi kwa kutoweza kuangalia chochote kingetokea kabla ya mapinduzi.

Bernard Émié DG wa TISS ya ufaransa alishaonya na kutahadharisha toka mwanzoni wa mwaka huu Macron achukue hatua ya kutuma vikosi maalumu vya ufaransa vimlinde rais Banzoum aliyepinduliwa. Lakini macron akutekeleza kwa kuofoa ufaransa italaumiwa kwa kuwa wakoloni.
View attachment 2711152

Bernard Émié alizidi kueleza hata kabla masaa machache ya mapinduzi alitahadharisha tena mapinduzi yatatokea inabidi ufaransa itume special forces zimlinde rais wa Niger Macron akataa.

Ila inafahamila Macron na huyu DG Bernard hazipandi toka Macron aliposhinda kipindi chake cha pili cha urais. Sababu kubwa DG alitarajia kabisa kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje badala yake akapewa cheo cha ukuu wa usalama Ufaransa.

Badala yake macron akamteua mwana mama Catherine Colonna. Luwa waziri wa mambo ya nje Ufaransa.

View attachment 2711153

Wizara ya Mambo ya nje Ufaransa pamoja na wizara ya ulinzi imekanusha madai haya ya Bernard Émié kuwa alitahadharisha na kushauri kuhusu haya mapinduzi.

Bernard Émié ni kachero mbobezi na mwana diplomasia mzoefu anayeheshimika sana ufaransa. Ni Kama Somo wake Bernard Membe wetu Mungu amrehemu.

Katiba ya Ufaransa inampa nguvu Rais kuteua na kumfukuza kazi mkuu wa usalama wa taifa. Duru za chini chini za siasa ufaransa zinatabiri kibarua cha Bernard Émié kitaota nyasi hivi karibuni.

Senior JF local and international correspondent and political analyst
Macron anazuga tu, anaelewa kila kitu.
 
Macron anazuga tu, anaelewa kila kitu.
Viongozi wa sasa wa Ulaya wanaona mifumo yao ina wabana sana. Wameanza kutamani approach ya viongozi wa Kiafrika ambapo kiongozi wa nchi anakuwa over everything.
Kule Canada, Justin Trudeau kabla hajawa Waziri Mkuu alikua ana admire sana the Cihina way ya uongozi. Hivi karibuni wameanza kumjadili na kukumbukia jinsi alivyokua akii admire mfumo wa kutawala wa China.
Watu walianza kukumbukia hivyo baada ya kuona wakosoaji wake wanapoteza kazi au wanajikuta kwenye wakati mgumu katika mazingira yasiyoeleweka. Ndipo wakakumbuka mfumo aliokua akiuhusudu kabla hajaingia serikalini.
US wameona jinsi viongozi wa sasa wanavyotamani kuwa na nguvu kuliko mifumo na ili kutoa onyo kwa yeyote ndiyo maana wamemkalia shingoni Trump ili wengine waone kitakachofuata. Kumfunga hawatamfunga ila wanajaribu kuwarudisha wanasiasa na viongozi wao kwenye mstari.
 
na our Beloved TISS yetu
kama unaelewa social-polical sentiments za nchi hii huwezi kusema "TISS yetu" inapendwa....
civic knowledge ya wabongo finyu sana

juzi wamejiongezea kinga

wabunge wanapigwa risasi mbele yao

wananchi wamekutwa kwenye viroba, TISS was clueless or faked being clueless

twiga wanapitishwa airport

cocaine zinashushwa bandari bubu Bagamoyo na Tanga

nchi za jirani zinapoteza ma treasure yao bandarini

recruitment ya TISS ni ya watoto wa wakubwa

crime rate Mbweni kwao huko is the highest in DSM, kuna siku wataingiliwa na majambazi

lile zee tajiri lililonunua silaha za mauaji ya Rwanda lilikutwa Ujerumani na passport imetolewa Immigration Kurasini..... TISS was clueless imetoka tokaje

Maafisa wastaafu waandamizi wa TISS, mawaziri wazima, wanadukuliwa na TCRA, ambao sio ma spy, which means TISS hawawi trained on using encrypted messaging... hata Whatsap inayo encryption, hawa hawalijui hilo...

The endless list of TISS's dastardly crimes, dysfunction and disaster is breathtaking

Unaanzaje anzaje kusema "TISS yetu" inapendwa ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom