Maafande wa mchongo

Maafande wa mchongo

Unachosema baharia 1 ni kweli hawa jamaa wana misifa na ukatili wa hali ya juu, nakumbuka mwaka 2018 walinikamata maeneo ya Kigamboni ilikuwa mishale ya saa 8 usiku aisee walini harass sana , walinifanya kama Yesu alivyofanywa na Wayahudi tena siku hiyo nilikuwa ganzi (Hangover) na nilikuwa tayari nimeshanyoosha mikono ku surrender 😄

Nilijieleza vizuri kwamba nilikuwa na jamaa yangu tumepoteana bahati mbaya na sehemu tuliyokuwa nimepotea nisaidieni kunipeleka wakanipeleka kwenye ile Bar yaani kilichosaidia pale kulikuwa na jamaa tulisoma wote miaka ya nyuma japo alikuwa amenizidi kama madarasa matatu mbele. Na jamaa mwingine ni Mshua sana yale maeneo na wanamheshimu kwa sababu huwa anawarushia makombo kama mbwa (Hela, viatu na suruali ambazo jamaa kazichoka au zimepitwa na fashion) .

Jamaa ni makatili na hawa ubinadamu kabisa.
Wanajifanyaga na wao ni bakabaka
 
Back
Top Bottom