Maadui Wanne wa Maendeleo

IPECACUANHA

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
3,216
1,906
Nilibahatika kumsikiliza Raila Odinga waziri mkuu wa Kenya wakati wa mazishi ya Njenga Karume Mfanyabiashara mashuri na mwanasiasa wa Kenya ambapo ameorodhesha maadui wa maendeleo kuwa ni
1. Maradhi
2. Ujinga
3. Umaskini
4. Utawala wa kimabavu, gandamizi na unao-onea wananchi

My take: kenyans are more focused on issues particularly no 4 when compared to Tanzanians and could be the reason for their stronger economy despite their lack of natural resources also in comparison to TZ
 
Nilibahatika kumsikiliza Raila Odinga waziri mkuu wa Kenya wakati wa mazishi ya Njenga Karume Mfanyabiashara mashuri na mwanasiasa wa Kenya ambapo ameorodhesha maadui wa maendeleo kuwa ni
1. Maradhi
2. Ujinga
3. Umaskini
4. Utawala wa kimabavu, gandamizi na unao-onea wananchi

My take: kenyans are more focused on issues particularly no 4 when compared to Tanzanians and could be the reason for their stronger economy despite their lack of natural resources also in comparison to TZ

Maadui hawa apa...

1. Maradhi
2. Ujinga
3. Umaskini
4. Pinda
5. Makinda
6. Wale wa-Kijani walio Eneo la Umasikini wa kutupa
(by Makinda)!!
 
Maadui hawa apa...

1. Maradhi
2. Ujinga
3. Umaskini
4. Pinda
5. Makinda
6. Wale wa-Kijani walio Eneo la Umasikini wa kutupa
(by Makinda)!!


Adui mkubwa ni ufisadi ( coruption ) hayo yote yaliotajwa yatatoweka ikiwa hakuna ufisadi. Ikiwa mali ya umma itatumika kwa mambo muhimu bila ya watu kufyonza na wafanyakazi wakachapa kazi bila kutegea na kula mshahara wa bure.
 
Back
Top Bottom