Maadui wa CHADEMA hawa hapa

Kaka Kuna watu wanashauri na hawana mapenzi na chama chochote, hawa husimama Kama wanataaluma au wazoefu. Kamwe CCM hawezi kutoa ushauri kwa CHADEMA kwakua wote wanalengo moja wote wanahitaji aidha kuendelea kukaa kwenye dola au kuingia na kushika dola.
 
Haki haiombwi kaka inadaiwa.
 
nimeshajua kabila lako
Kaka hawa kina Mangi wanasahau kwamba Taifa hili lina makabila zaidi ya 120 hawajui kwamba japo wanazo chembechembe za Kiingereza kupitia (CHIEF MALIARRE) haiwapi tiketi ya kuona wengine Ni maboya tu.
 
Hapo sio kwamba wanaogopeka Mkuu, CHADEMA inajadiliwa l, laumiwa, kosolewa kwa sababu moja tu KWAKUA NDIO CHAMA KIKUU CHA UPINZANI,l. Labda ulikua na umri mdogo, wakati Mzee wa Kiraracha akiwa katika form tulikua tukimjadili yeye kuliko Marehemu Mtikila, Shabani Mloo na baadae Prof Lipumba. Prof. Lipumba na CUF yake walipokua kwenye form alikua hajadiliwi tena Mrema.
 
Unailaumu vipi cdm haikujiandaa kisiasa wakati ww mwenyewe unajua cdm wamezuiwa kufanya siasa mwaka wa nne sasa
Kaka kama chama cha siasa KILITAKIWA KUJIONGEZA, ULISHAWAZA IWAPO WANGETUMIA MIKUTANO YA NDANI KUWAELIMISHA NA KUWAANDAA WAGOMBEA?

Wazee wetu walioleta Uhuru kama wangekua na attitude kama za viongozi wa bado tungekua kwenye upe utumwa wa kufungwa minyororo.
 
Gwallo, Kama ambavyo mwana CHADEMA hawezi kumtakia mema mwana CCM. Usipepese macho palipo na ukweli.
 
Chadema mnaitakia nini nyie, Chadema, Chadema hebu endeleeni na li chama lenu la kijani.
 
Mbona sababu wanazo tayari na hawaichagui CCM? Ndio maana wanatumia mbinu mbovu
Mkuu,chama kiko madarakani miaka 50++kinabaka demokrasia ya vyama vya 1992!!eti walitawanya wanasheria nchi nzima kisirisiri uwoga wote wa nini??kwa vyama ambavyo kwa ujumla wao havina majority bungeni,uwoga na kutojiamini kwa ccm ndio kiini cha kuharibu chaguzi.
 
Nadhani tuendelee kuibaka democrasia,naona hata cdm wameibaka inaelekea raga sana
 
Mnapiga Kelele mnapoteza muda na radilimali bure tu propaganda dhaifu. Hakuna atakaye wasikiliza,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…