Maadili

Maadili

bugzbunny

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
847
Reaction score
763
Ni hivi, Tanzania kuna janga la kimyakimya ambalo tumeamua kufanya ni jambo la kawaida sana. Umalaya. Wanawake wengi walioolewa na wasioolewa wanafanya umalaya pengine wao wanaona ni jambo la kawaida sana.

Wazazi hasa kina mama wamechangia kwa kiasi kikubwa sana kwenye hilo janga. Unakuta mama anamuuliza mwanae wa kike, hivi ina maana huyo mwanaume wako hakupi ata pesa ? We unaona hali ya nyumbani hapa. Unadhani kinachofuata nini? Mwanaume anakuwa ATM.

Pili, wanaume ambao ni wajinga wanaohonga wanawake bila kutumia akili hawajui pale ni biashara mmefanya, sababu kitu pekee anakupa ni uchi tu. Hakuna lingine la maana. Na watoto wa kike wamezoea kupewa as if ni lazima. Hili wanaume tujilaumu. Mwanamke ambae unapaswa kumhudumia ni mke, mtoto wako na mama. Fullstop. Hao wengine ni unanunua chululu tu.

Sasa balaa linakuja umeoa huyo mfanyabiashara wako uliempata kwa kuspend pesa. Fulia au atokee mwamba mwenye mzigo kukuzidi. Utajua hujui. Alafu mnashangaa kwa nini rate ya talaka ni kubwa sana na mnakufa mnawaacha wanawake.
 
Mbona wacheka mkuu?
Nimecheka kwa sababu unalinda popo au bundi, au wezi wa mifugo?

Juzi hapo alikuja mwizi akaiba ng'ombe na baba yangu mdogo kalala ndani. Cha ajabu anadai usingizi ulimjia karibia na asubuhi alikuwa anasikiliz mziki taratib

Cha ajabu mwizi alionekana anatembea na ng'ombe kimya kimya na ng'ombe wala hakuwa anapiga kelele, alimfata kama wanapiga story hivi- hapo ilikuw mida ya saa nane usiku wakati mshua yuko macho na ng'ombe wake anaibiwa zizini
 
Nimecheka kwa sababu unalinda popo au bundi, au wezi wa mifugo?

Juzi hapo alikuja mwizi akaiba ng'ombe na baba yangu mdogo kalala ndani. Cha ajabu anadai usingizi ulimjia karibia na asubuhi alikuwa anasikiliz mziki taratib

Cha ajabu mwizi alionekana anatembea na ng'ombe kimya kimya na ng'ombe wala hakuwa anapiga kelele, alimfata kama wanapiga story hivi- hapo ilikuw mida ya saa nane usiku wakati mshua yuko macho na ng'ombe wake anaibiwa zizini
Ngoja niendelee na lindo, usi kute wana nivizia hapa
 
Ni hivi, Tanzania kuna janga la kimyakimya ambalo tumeamua kufanya ni jambo la kawaida sana. Umalaya. Wanawake wengi walioolewa na wasioolewa wanafanya umalaya pengine wao wanaona ni jambo la kawaida sana.

Wazazi hasa kina mama wamechangia kwa kiasi kikubwa sana kwenye hilo janga. Unakuta mama anamuuliza mwanae wa kike, hivi ina maana huyo mwanaume wako hakupi ata pesa ? We unaona hali ya nyumbani hapa. Unadhani kinachofuata nini? Mwanaume anakuwa ATM.

Pili, wanaume ambao ni wajinga wanaohonga wanawake bila kutumia akili hawajui pale ni biashara mmefanya, sababu kitu pekee anakupa ni uchi tu. Hakuna lingine la maana. Na watoto wa kike wamezoea kupewa as if ni lazima. Hili wanaume tujilaumu. Mwanamke ambae unapaswa kumhudumia ni mke, mtoto wako na mama. Fullstop. Hao wengine ni unanunua chululu tu.

Sasa balaa linakuja umeoa huyo mfanyabiashara wako uliempata kwa kuspend pesa. Fulia au atokee mwamba mwenye mzigo kukuzidi. Utajua hujui. Alafu mnashangaa kwa nini rate ya talaka ni kubwa sana na mnakufa mnawaacha wanawake.
wanaume ndio malaya namba moja!hao.wanaolala na wanawake ni.wakina nani au mnalalana wenyewe 🤣🤣
 
wanaume ndio malaya namba moja!hao.wanaolala na wanawake ni.wakina nani au mnalalana wenyewe 🤣🤣
Mwanaume anatoa pesa kukununua. Wewe ndio bidhaa unakuwa. Jina ndio malaya.
 
Nothing
Kwa ulivyoandika watu wanaweza wakaogopa wanawake au kuoa

Kama leo nimeshinda lodge, kuna mwamba huwa anakuja kwa siku analala na wanawake 6 na zaidi mpaka 8 hivi. Akipiga mmoja anamrudisha anakuja mwingine. Ukiwaza haya utaona tabu ya maisha
Of course lazima kwenda nao kitaalam. Wengi wanadhani mwanaume ni chanzo cha kipato. Wengi ni malaya. Ukitaka kuoa linganisha mama zetu wa zamani, kwa shida na kwa raha. Hawa ni transactional. Pesa = mbususu.
 
Back
Top Bottom