Maadili ya utumishi wa umma.

Maadili ya utumishi wa umma.

Kalagabao

Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Leo ni siku ya mwisho kwa viongozi w umma kurudisha fomu zinazoonesha mali wanazomilik lakini mpaka sasa ni vingozi 1751 tu kati ya 9174 ndio walorudisha fomu. Je amnao badp hawajarejesha fomu hizo tawaeleweje? Toa maoni yako.
 
Back
Top Bottom