Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku TBC, mkuu wa wilaya amelazimika kuahirisha maadhimisho hadi tarehe 14 baada ya wananchi kutokuhudhuria.<br />
Je hii inaweza kuwa ni ishara ya wananchi kuchoshwa, au kutoona faida ya kushiriki mihadhara ya kiserikari kwa kuona haina tija kwao.<br />
Hebu tuchange mawazo.
Je hii inaweza kuwa ni ishara ya wananchi kuchoshwa, au kutoona faida ya kushiriki mihadhara ya kiserikari kwa kuona haina tija kwao.<br />
Hebu tuchange mawazo.