PeterLugomo
Member
- Aug 27, 2015
- 19
- 17
Wakuu naomba kujua kama mamlaka husika zimetangaza kuwa siku aliyofariki mpendwa wetu Raisi wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa kama ni siku ya mapumziko tukiadhimisha kifo chake na kukumbuka mchango wake uliotukuka katika taifa hili.