stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 18,905
- 14,669
Maandamano yakiwa yanaendelea huko Kenya ya wanachi wakidai kupatikana haki ya Albert Ojwang ambaye alifariki akiwa gerezani baada ya kupigwa na moja ya askari, katika hali hiyo video hii inamuonyesha moja ya mtu ambaye alikuwa katika maandamano akiwa amepigwa na bunduki na askari waliokuwa wanatawanyisha maandamano hayo.