Aisee..baada ya kuchukua mtoto mkali wa race nyingine kabisa na kumpost tukila maraha kona zote kuanzia instagram, facebook na whatsapp.
Naona taratiibu ma x wakiniblock
Hahaha aisee...raha iliyoje..
Sasa ma x wengne mmeolewa wivu wa nini na tumeachana mda kinoma.
Aisee... na nilikua sifuti namba za ma x kwa sabab hii.
Naona taratiibu ma x wakiniblock
Hahaha aisee...raha iliyoje..
Sasa ma x wengne mmeolewa wivu wa nini na tumeachana mda kinoma.
Aisee... na nilikua sifuti namba za ma x kwa sabab hii.