Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,554
Panga, pangua ya Mama Samia ndo habari ya mjini.
Katika awamu zilizopita, nafasi nyingi sana za kiutendaji walipewa makada wa CCM pamoja na wa vyama vya upinzani ( Anna Mngwira RC Kilimanjaro, Mtatiro DC huko Namtumbo etc).
Mama Samia hatabiriki, haeleweki kabisa. Anafyatua tu
Wateuliwe wengi wa Hayati Dkt. JPM hawalali usingizi kabisa. Mbili haisomi, moja haisomi.
MaDC ndo kabisa.
Tusubiri uteuzi leo.
Katika awamu zilizopita, nafasi nyingi sana za kiutendaji walipewa makada wa CCM pamoja na wa vyama vya upinzani ( Anna Mngwira RC Kilimanjaro, Mtatiro DC huko Namtumbo etc).
Mama Samia hatabiriki, haeleweki kabisa. Anafyatua tu
Wateuliwe wengi wa Hayati Dkt. JPM hawalali usingizi kabisa. Mbili haisomi, moja haisomi.
MaDC ndo kabisa.
Tusubiri uteuzi leo.