Ma pastor watatu..

Ma pastor watatu..

Joined
Jan 19, 2013
Posts
35
Reaction score
11
MAPASTOR watatu walikutana wakaelezana shida zao ili waombeane


PASTOR wa kwanza: mimi tatizo langukila nikitoka kwenye ibada lazma niibe sadaka za waumini naomba niombeeni niache.


PASTOR wa pili: mm tatizi langu napenda sana wanawake kila mtu napenda nilale nae nimeshalala na wanakwaya wote niombeeni niache.


PASTOR wa tatu: akaanza kulia wenzake wakamuuliza we vp mbona unalia yeye akawaambia mm tatizo ni umbea yani mliyoyasema hapa yote lazima nikasimulie niombeeni jamani!!!!!!!
 
ha ha ha!!
Imetulia, seriously in real life hao mapastor wa aina hiyo wapo sana. Wengine wamevunja ndoa za watu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom