Ma-genius tukutane hapa

Shule zlikuwa kibasila,Azania,forodhani,kambangwa,,jangwani,zanaki,kisutu........tuliomalza 1997.
Hapo tambaza O level ilishaondolewa
Kama Kuna shule nmeisahau mtajazia
 
A genius is someone with extraordinary intellectual or creative abilities.In terms of IQ, genius has IQ of 140 (one person out of 240 people) or IQ f 180(one person out of 2,000,000 people)
Wee jamaa kujiita genius unafit walau hizo criteria?Au uliweza tu kukariri yaliyoandikwa na kina NEWTON na kuja kudanganya hapa?
 
kipindi hicho tution kwa dani kule mburahati madoto na mabibo kwa brather anaitwa yule jamaa...
 
Nimepata faraja kuona shule yangu pendwa ya primary ikitajwa...ni hakika kabisa miongoni mwa shule za msingi za serikali zenye kuheshimika Gilman Rutihinda hautoweza kamwe kuiacha nyuma, nilisoma miaka hiyo Mwalimu Mkuu akiwa ni Madame Songambele, alikuwa ni mpenda maendeleo kuanzia taaluma hadi mandhali ya shule. Mungu awabariki waalimu walionifundisha pale.
 
Magnus Ngole mhh umenikumbusha mabali kwa kuwa jina langu liliandikwa kwenye kila shule wakati huo mkoa wa dsm primary.any way ni mapito tu.
 
Ila ilikuwa marks 150
 
Huyo jamaa ni nouma sana

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
kipindi hicho tution kwa dani kule mburahati madoto na mabibo kwa brather anaitwa yule jamaa...
Yule Dani alkuwa hatar,,pindi bila kuangalia notes enzi zle altuchanganya sana.....
Tulikuwa tunamuona jamaa wa ajabu!!!!
 
Hivi ambao hatukuwahi kuwa wa kwanza ila 5-9 consistently Sekondari yote darasa la around wanafunzi 120 na kunyoosha division I kali ni majiniasi, au tuna akili tu za darasani?
 
Na sisi tuliosoma shule ya kata na kupata one yenye A ya Basic Mathematics kisha kuna dvision three 4, four 26 na division 0 154 tusemeje? Mpaka leo hiyo sekondari hiyo hakuna amevunja recod yangu.
Baadaye watu walinipiga vita kuwa ni mbinafsi sana.
Leo hii sitaki mtu ajue hata nilimaliza four 4 hasa majirani wapya hapa sitaki kabisa kuitwa msomi na kama nilifika chuo kikuu ni siri yangu
 
Wilaya ya Njombe na Mdete pr. niliacha kumbukumbu pale haatasahau jina langu kwa kuibeba shule na kuongoza wilaya nzima ukiachana na mitihani ya ndani na inter school huko usiulize
 
Pole Sana!
 
Hongera! Ulifanikiwa shughuli au ajira baada ya chuo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…