Naloli
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 416
- 81
Nina ndugu yangu wa damu wa kiume anatatizo la Mapumbu yake ni makubwa usawa wa ngumi yake, alipoenda Hosp kuangalia kama anatatizo la busha/matende wakamwambia hana tatizo hilo.
Tatizo ni kuwa alidhani anatatizo la busha walipomwambia ni salama hakuangalia matatizo yanayo sababisha tatizo hilo. Kiufupi pumbu zake hazilegei mara kwa mara na muheshimiwa uwa mdogo ufufuka pale anapo dinda na size uwa ya kawaida kama nci 5 na point, kinachomkele ni ukubwa wa huo mzigo aelewi ni tatizo au vp.
Mimi siku zote nimemwambia ni maumbile tu na si tatizo na kama anakehereka aende hosp tena. Lakini kwa kuwa hapa kuna jukwaa hili naomba ufafanuzi wenu ili kunusuru hii hali, jamaa ana mke na watoto watatu.
Madaktari msaada wenu unaitajika.
Tatizo ni kuwa alidhani anatatizo la busha walipomwambia ni salama hakuangalia matatizo yanayo sababisha tatizo hilo. Kiufupi pumbu zake hazilegei mara kwa mara na muheshimiwa uwa mdogo ufufuka pale anapo dinda na size uwa ya kawaida kama nci 5 na point, kinachomkele ni ukubwa wa huo mzigo aelewi ni tatizo au vp.
Mimi siku zote nimemwambia ni maumbile tu na si tatizo na kama anakehereka aende hosp tena. Lakini kwa kuwa hapa kuna jukwaa hili naomba ufafanuzi wenu ili kunusuru hii hali, jamaa ana mke na watoto watatu.
Madaktari msaada wenu unaitajika.