Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,865
Jan mwanzon
Nilitoka.mkoa nilikuwa nakimbizana na kakazi Flani
Toka Sept
Nilipofika. Home nikahondomola.na shemeji yenu kama siku 5 mfululizo
Ya sita na saba nk.nkaona kila.nikiingia.inalala
Sijawahi nitokea hivi nkakimbilia tmj
Kufika.nkamweleza dk.we akauliza.maswaoili kadhaa. Mwisho nkaona anaandika dawa akanishauri.pia.nipumzike.niache pombe kwa.mda nk
Nkamwelewe akasisitiza ukimaliza hizo.dose unakuwa.sawa kabisa
Nikarudi hme.nkajipumzisha.kama siku ksdhaa bila kazi yoyote nikawa close na Bible ♥️ ❤️ 👌
Baada ya wiki dose haijaisha majeshi yakarudi tena mpaka sasa hivii
Sasaa na.mwenzangu. majuzi hali ikamtokea huko.kwake nkamwambia kuna dawa nilipewa nzuri ilinsaidia hatq kabla sijaimaliza
Nkampatia akanunue......amechukua kaenda pharmacy anapiga ananiambia nimekuwa.mhun nkamwambia why akasema mbona mdada anasema hiizi.n panadol
Ukweli.nilibaki.kuxhekaa sikujua nimepewa.panadol na ule uushauri
Nikamwambia hio ndio.nimekunywaa
...ma dk ahsanten sana na....anawaona.kwa kweli awaongoze.kuwasaidia watu kisaikolojia.pengine. ninngeambiwa panadol nisingeamini na labda ingechukua.mda.kuwa.sawa
Nilitoka.mkoa nilikuwa nakimbizana na kakazi Flani
Toka Sept
Nilipofika. Home nikahondomola.na shemeji yenu kama siku 5 mfululizo
Ya sita na saba nk.nkaona kila.nikiingia.inalala
Sijawahi nitokea hivi nkakimbilia tmj
Kufika.nkamweleza dk.we akauliza.maswaoili kadhaa. Mwisho nkaona anaandika dawa akanishauri.pia.nipumzike.niache pombe kwa.mda nk
Nkamwelewe akasisitiza ukimaliza hizo.dose unakuwa.sawa kabisa
Nikarudi hme.nkajipumzisha.kama siku ksdhaa bila kazi yoyote nikawa close na Bible ♥️ ❤️ 👌
Baada ya wiki dose haijaisha majeshi yakarudi tena mpaka sasa hivii
Sasaa na.mwenzangu. majuzi hali ikamtokea huko.kwake nkamwambia kuna dawa nilipewa nzuri ilinsaidia hatq kabla sijaimaliza
Nkampatia akanunue......amechukua kaenda pharmacy anapiga ananiambia nimekuwa.mhun nkamwambia why akasema mbona mdada anasema hiizi.n panadol
Ukweli.nilibaki.kuxhekaa sikujua nimepewa.panadol na ule uushauri
Nikamwambia hio ndio.nimekunywaa
...ma dk ahsanten sana na....anawaona.kwa kweli awaongoze.kuwasaidia watu kisaikolojia.pengine. ninngeambiwa panadol nisingeamini na labda ingechukua.mda.kuwa.sawa