Hao wote hawafai kuwa ma CEO of the company, na hata uwaziri,
Hivi unajua kuongoza kampuni ni kazi kuliko kuongoza wizara?
Na tena kuongoza multination company like toyota, sony, samsung etc ni ngumu zaidi kuliko kuwa rais, as mda wote kichwa lazima kiwe makini as decisions utazofanya zina affect dunia nzima as company like those employs billions of people in the world na kama ziki colapse ni balaa yaani bora nchi ianguke kuliko kampuni.
So tukisema tufate proffessonal ethics kuongoza shirika like nssf, tanesco, tra, and so on ni kazi ngumu kuliko kuongoza wizara na kama kuna smart people mmoja mnatakiwa mfanye choice aende wapi ni bora akaongoze shirika, as kwanza kwenye wizara waziri hana lolote maana mtendaji ni katibu mkuu na mkurugenzi wa wizara..
Nilishawai kuona kwenye tv raisi wa samsung sijui anaitwa kim chung nani alienda usa yaan anaongea hadi kina obama, bill gate na wenzao wanakubali kweli kichwa kinaongea...
Ukitaka kuamini ninachosema ingia wikipedia usome profile za ceo wa those company au wengine wanaitwa key people of the company as wanaongoza department zinazohitaj umakini wa hali ya juu, uone profile zao ndo utajua namaanisha nini na kwa nini wanaitwa key people... So kwa kufata ethics uwaziri ni kazi nyepesi kuliko kuongoza shirika.