wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Je Kitilya wa TRA au Kimei wa CRDB au Mchechu wa NHC au Ali Mufuruki au Ami Mpungwe au yule bosi wa PPF wangefaa kuwa mawaziri?
Je wizara zipi zingewafaa?
Je wizara zipi zingewafaa?
Wote hao wamekuwa corrupted na system so hawatufai at all.
fafanuaHao wote uliowataja ni wezi waliokubuhu bahati yao nzuri wanalindwa na wezi wenzao!!
Je Kitilya wa TRA au Kimei wa CRDB au Mchechu wa NHC au Ali Mufuruki au Ami Mpungwe au yule bosi wa PPF wangefaa kuwa mawaziri?
Je wizara zipi zingewafaa?