Sina cha kuchangia ila nimekumiss hatari.Wakuu,
Hawa watu wanakutana na warembo au wanaume wenye pesa kila sekunde, hivi kuna celebrity ashaumia seriously?
Messi, Ronaldo, Nicki Minaj, Lil Wayne, wanasiasa, Billgate, Dangote, Mengi, Wema Sepetu, hivi hawa wanafeel pain kweli maana mda wote wanatafutwa.
Au sisi wa kawaida ndo tunaumizwa na mapenzi?
Umemfumania ikabidi ajikatae mwenyew maana aliona humuulizi.Kwakweli kaka shemeji hapo nimesingiziwa, sikuwahi kumuacha Viol, yeye ndio aliniacha, baada ya kumfumania.
..Nataka tuishi kama mashetani( in Magu Voice)
Hahahaaaa!! Yaani kimya kimya.Umemfumania ikabidi ajikatae mwenyew maana aliona humuulizi.
Yaaah!kweli kabisa Usher alimpenda sana yule Dada Ila alikuja kuona umuhimu wake baada ya Dada kumove onNdio kisa cha Usher Raymond kutoa Album ya confession 2003-2004.
Au juma nature Ugali
tafadhali muache mjukuu wangu!Ukimuacha huyo uje kwagu atoto
Sunil anaachwa kwa umaskini wake!Umenikumbusha movie inaitwa dhadkan akshay na sunul.....
Afadhali!mjukuuu!Hapa nilipo nimefika, labda ya Mungu yatokee.
Hahahaaaa!! Hv ukiolewa na babu basi unakuwa bibi yanguAfadhali!mjukuuu!
Mapenzi hayana mjanja.Mapenzi ni involuntary action humuoni breezy alivyokuwa obsessed na karrueche Dada hamtaki mshikaji mpk kesho anamtani yule binti!
Kati ya movie hazijawahi kunivutia ni za kihindi, sijui kwanini!!!Sunil anaachwa kwa umaskini wake!
Shilpa shety anaolewa na Akshay Kumar
Mwisho Sunil anakuwa bonge la tajiri anannnua nyumba ya kina Akshay
Movie inasikitisha sana ile!
Hahahaaaa!! Hv ukiolewa na babu basi unakuwa bibi yangu![]()
![]()
![]()
Aisee sikubali.
kumbee je?Daaah!unakosa vitu vitamu vitamu!Kati ya movie hazijawahi kunivutia ni za kihindi, sijui kwanini!!!
Nami lazima niwe mama yako, usinitanie kabisa.![]()
![]()
![]()
![]()
kumbee je?
Ndo nshakuwa bibi tena!
Tena na heshima utatoa!!
U can't fight me,join me pleasee!
Nshapewa tayari ujue!
Mmmh acha nivikose tu. Sasa Heaven Sent atakuwa anakuita nani kama mimi nakuita bibi?Daaah!unakosa vitu vitamu vitamu!
My ndugu!

Nami lazima niwe mama yako, usinitanie kabisa.
Mmmh acha nivikose tu. Sasa Heaven Sent atakuwa anakuita nani kama mimi nakuita bibi?![]()
....!!