Ma-celeb wanaumia wanapoachwa?

Ma-celeb wanaumia wanapoachwa?

Wanaumia kidogo tu sababu faraja ipo kwao kila dakika na support ni kubwa sababu wanaoumia zaidi ni mashabiki. Kwa celebrities ni kama kujikwaa anapotembea
 
Wakuu,

Hawa watu wanakutana na warembo au wanaume wenye pesa kila sekunde, hivi kuna celebrity ashaumia seriously?

Messi, Ronaldo, Nicki Minaj, Lil Wayne, wanasiasa, Billgate, Dangote, Mengi, Wema Sepetu, hivi hawa wanafeel pain kweli maana mda wote wanatafutwa.

Au sisi wa kawaida ndo tunaumizwa na mapenzi?
Hata ww ni Celeb wa humu JF
 
Duhu# kwa dunia ya kweli mapenzi bila pesa ni ufala hamna mwanake wa xaxa anependa bila pesa angalia axilimia kubwa kwenye ndoa za wenye pesa mwisho wake hua ni mbaya###£
 
Duhu# kwa dunia ya kweli mapenzi bila pesa ni ufala hamna mwanake wa xaxa anependa bila pesa angalia axilimia kubwa kwenye ndoa za wenye pesa mwisho wake hua ni mbaya###£
Nguzo kuu mbili za mahusiano ni pesa na na kumlidhisha ulie nae kitandani.Awe mwanamke au mwanaume akiridhika kwenye bed na pesa ikawepo basi kila kitu kitakuwa sawa.Nguzo moja wapo kati ya hizo ikiwa legevu basi mmoja wenu ndio atafurahia mahusiano.
 
Wanaumia sana tu mapenz hayaangalii pesa wala ustaa wao km alpenda akiachwa lazme aisikie moyon
 
Mapez hayanaga Ubausa.hata uwe mubabe vp kwenye mapez inakuwa sisimiz
 
Wakuu,

Hawa watu wanakutana na warembo au wanaume wenye pesa kila sekunde, hivi kuna celebrity ashaumia seriously?

Messi, Ronaldo, Nicki Minaj, Lil Wayne, wanasiasa, Billgate, Dangote, Mengi, Wema Sepetu, hivi hawa wanafeel pain kweli maana mda wote wanatafutwa.

Au sisi wa kawaida ndo tunaumizwa na mapenzi?

WEKA PICHA KWANZA MKUU!
 
Kuumia inategemea na sababu za huo uhusiano wao! Wengine wanapendana kweli ila wengine ni contract tu za kupaza majina!
 
Back
Top Bottom