Kwa kuuliza huku, basi huyo jamaa hastahili kuoa kwani hajapevuka.
Unatumia vigezo gani kujua tabia za bank tellers? ni sawa na kuchukua tabia ya mmoja na kuhukumu wote. Hii wazee wa critical thinking tunaita fallacy of hasty generalization au faulty generalization.
Je wewe kupitia kazi au kabila lako, unafanana na wenzio kwenye kazi hiyo au kabila hilo?