Ukimpa maelezo ya kutosha anayapokea kisha anakwambia aende kujipanga. Baada ya muda anachukua maelezo yako anampa kazi mtu mwingine.
Ndio maana kuna fani consultation tu inabidi ulipie. Kuna watu ukipiga simu ukianza kubwabwaja tu kabla ya yote anakupa akaunti uweke fee asipoteze muda wake bure.