Mkuu mpaka kufikia 2015 hakuna kata ambayo itakuwa haijafikiwa na viongozi wa juu wa chadema haya yalikuwa maneno ya Freeman Mbowe baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 na kusema kama wabunge walioingia bungeni kupitia chadema wanaamini kuwa kazi imeisha wana jidanganya kazi ndiyo kwanza imeanza....
Excellent job. Heading yako ingeweka Neno picha (picha; M4C yazoa 1200 simanjiro) ili watu wajue kuwa umeweka picha. Ni ushauri tu. Wengi tunapenda picha kwa kuwa haina ubishi.
Excellent job. Heading yako ingeweka Neno picha (picha; M4C yazoa 1200 simanjiro) ili watu wajue kuwa umeweka picha. Ni ushauri tu. Wengi tunapenda picha kwa kuwa haina ubishi.
Kazi nzuri sana na hongera kwa usikivu wako pamoja na ushauri ya kuwa jukumu hili si la viongozi tu bali ni letu sote.
Nasivu pia taarifa zetu hazina longolongo ila za wenzetu ni aibu tupu.Ila nami najipanga kwa kumwomba Rab anijalie nguvu, amani na uwezo ili 2015 niingile mjengoni na pia tuzidi kuombeana ili yale tuyakusudiayo yatimie kwa uwezo wake.