MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 887
Msiisahau gesi maana inaondoka hiyo waelezeni wananchi ukweli asilimia 90 inakwenda China maana magamba tayari walishakula adivansi
Teh teh teh!umenichekesha sana mkuu!Mafilili kaandika as if amekalia kitu tofauti na kiti but kina ncha japo butu!
Twaomba mikutano isitumike kuwashambualia polisi, isije ikatokea kama ya Marehemu Mwangosi
Ni mwendo mdundo,juzi nilikua mafinga yaani kule scarf na bosholi za chadema ni kama sare ya mji!
Tanga na wilaya zake wamekusahau kabisa