Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,375
MSIGWA TENA!
Napenda kuchukua nafasi hii kukukaribisha kwenye mkutano mkubwa wa Kibunge katika viwanja vya Mwembetogwa tarehe 26/10/2019. Kuanzia saa 8 mchana mpaka saa 12 jioni
Kama mbunge wako , nitasikiliza kero, maoni na ushauri kabla ya kwenda kwenye mkutano wa bunge, litakalo anza 5/11/2019.
Hii ni funga mwaka, usijaribu kukosa.
Mambo yatakuwa moto
Rev Peter Msigwa
Mbunge iringa Mjini
Wote mnakaribishwa
=====
UPDATES24 Oct 2019 17HRS
Mktano umezuiliwa, zaidi soma:
Napenda kuchukua nafasi hii kukukaribisha kwenye mkutano mkubwa wa Kibunge katika viwanja vya Mwembetogwa tarehe 26/10/2019. Kuanzia saa 8 mchana mpaka saa 12 jioni
Kama mbunge wako , nitasikiliza kero, maoni na ushauri kabla ya kwenda kwenye mkutano wa bunge, litakalo anza 5/11/2019.
Hii ni funga mwaka, usijaribu kukosa.
Mambo yatakuwa moto
Rev Peter Msigwa
Mbunge iringa Mjini
Wote mnakaribishwa
=====
UPDATES24 Oct 2019 17HRS
Mktano umezuiliwa, zaidi soma:
Iringa: Polisi wazuia Mkutano wa Mbunge Mch. Peter Msigwa[CHADEMA]
Zaidi.soma: https://www.jamiiforums.com/threads/kumekucha-mchungaji-msigwa-kuiteketeza-ccm-iringa-mjini-baadhi-ya-viongozi-wa-ccm-wajiandaa-kukimbia.1642317/
www.jamiiforums.com