M4C-OPD ndani ya Geita - Jan 27, 2014

Makala Jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
3,395
Reaction score
1,112
Previously:


Updates:

Hatimaye Kamanda wa anga awasili kwa helikopta na umati mkubwa unamshangilia Mhe.Mbowe. Hali ya hewa si nzuri sana kwani mvua imenyesha na manyunyu yanaendelea lakini watu wanazidi kumiminika kuja katika uwanja wa magereza hapa Geita Mjini. Nitakuwa nawapa kila updates!





 
Pamoja Daima tunawatakia kila la heri huko
 
Hapo kwenye red,ulimaanisha hivyo?
 
endelea kutumika hapo wenzio wanapiga ruzuku wanaenda kununua majumba dubai huku wakivinjari na mahawara zake wee upo tu hapo
 
Hapo kwenye red,ulimaanisha hivyo?

Ni ypingg error ndugu yangu nilikuwa naamanisha 2015,

Mods naomba muundoe uzi huu ubaki ule niliorekebisha mwaka 2015 badala ya 2051.

Ahsante kwa ushirikiano.
 

Wewe Nyamigota nilishakwambia kwamba huwa unakurupuka sana,na ndiyo tabia yako miaka yote,na hata kwenye kazi unakurupuka tu!

Badilika vinginevyo itafika hata huo mwaka 2051 unaousema kwamba utakuwa ni wa uhuru na ukombozi bado msifanikiwe,wenzakomtunawaza uchaguzi wa mwakam2015 wewe unawaza 2051!!
 
Ni ypingg error ndugu yangu nilikuwa naamanisha 2015,

Mods naomba muundoe uzi huu ubaki ule niliorekebisha mwaka 2015 badala ya 2051.

Ahsante kwa ushirikiano.

Ni ypingg error kama ulivyoonesha hapo juu au Typing error?!

Dogo mboma unaweweseka?!

Jitahidi urudi pale katoro primary walau unaweza kujua unachokiandika,ingawa wanafunzi ni wengi na walimu ni wachache lakini waweza kutoka hapo ulipo na kusogea mbele kidogo!
 

karibu sana kamanda tupo pamoja
 

karibu sana Geita, hayo ndio mambo sasa.
 

huna lolote,elimu yako imekusaidia nn kama si kukufanya mtumwa wa buk7 tu!!!???
 
huna lolote,elimu yako imekusaidia nn kama si kukufanya mtumwa wa buk7 tu!!!???

Mimi sio wewe unaetumiwa na mbowe na dk slaa pamoja BAVICHA!

Muulize huyo huyo Nyamigota atakwambia na yeye mwenyewe hajui hata kama nimemuajiri!
 
Good, we will always support you Mh Mbowe. Remember, 'mti wenye matunda ndo upigwa mawe".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…