...Sasa anaongea Mh. Mdee..anakumbushia jinsi wana Ifakara walivyosimama kiume wakati wa Uvhaguzi mdogo ea Diwani Ifakara...CCM walijaza viongozi wazito hadi Taifani kuhakikisha CCM wanachukua kata, pamoha na mabomu na vitisho..."hamkukubali"....anawatia moyo 2015 wahakikishe Kaya zote, Vijiji vyote viende Chadema...