APARATIE
Member
- Dec 23, 2013
- 93
- 23
pamoja na mvua kubwa iliyokua ikinyesha wananchi wa makambako walijitokeza kwa wingi sana, kumsikiliza katibu mkuu wa chadema dr slaa,ambaye amesisitiza wananchi kuwa makini na watu wanaotaka kuliteka bunge maalumu la katiba na kwamba katiba inayotengenezwa sio mali ya chama chochote cha siasa na ameshangazwa sana na ccm wanaosema, eti serikali tatu sio makubaliano ya ccm. vile vile amesisitiza umhimu wa kuboresha daftari la kudum la wapiga kura,naambatanisha na picha,