M4C oil chafu kiboko ya mchwa

M4C oil chafu kiboko ya mchwa

stormed

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
212
Reaction score
42
e74e059ef33202b046cc49e987e8c639.jpg
 
Salaaam wana ukumbi,
Tangu mheshimiwa Lowasa ahamie Chadema,tumeshuhudia viongozi wengi wakihamia ukawa.Hali hii ni dhairi itawaathiri sana ccm,kwani hizo ni kura pia wanawafuasi wao lakini zaidi wanajua fika mbinu mbalimbali zinazotumiwa na ccm kupata ushindi.
Kuibuka kwa Nape na kusema hao ni oil chafu bila shaka anaweweseka kwa kuwa anajua fika kuwa oil chafu ni kiboko ya mchwa walioko ccm
 
Kiboko ya mchwa ni oil ila oil chafu ni uchafu
 
Salaaam wana ukumbi,
Tangu mheshimiwa Lowasa ahamie Chadema,tumeshuhudia viongozi wengi wakihamia ukawa.Hali hii ni dhairi itawaathiri sana ccm,kwani hizo ni kura pia wanawafuasi wao lakini zaidi wanajua fika mbinu mbalimbali zinazotumiwa na ccm kupata ushindi.
Kuibuka kwa Nape na kusema hao ni oil chafu bila shaka anaweweseka kwa kuwa anajua fika kuwa oil chafu ni kiboko ya mchwa walioko ccm

Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona
hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of
shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana,
ila ukombozi wako bado sana!
"POLITICS IS A DIRTY GAME LEAVE IT TO US
WHO KNW HOW TO PLAY IT..... " chinua achebe
 
ukawa itaendelea kupokea oil chafu kwa kuadabisha mamchwa/mafisadi yaliyokubuku
 
kwa hiyo tunahitaji oil chafu kwa wingi kwa kumaliza hao mchwa waliosambaa nchi nzima
 
Oil chafu alisema nape.kua wanaohama ccm sawa na oil chafu.lkn tumegundua ccm ni mchwa.tiba ya mchwa ni oil chafu
 
Wana JF,


Tumeamua kutandika makapi kote kwenye matundu ya mchwa na kunyunyizia Oil chafu kutokomeza mchwa waharibifu. Kumbuka mchwa hawana dogo, hata ukisimama kwa muda bila kujitingisha waweza kukutoboa, ccm ni mchwa waliotutafuna miaka 52 sasa, wamefanya hivyo bila kupatikana muafaka wa kuwaangamiza, sasa tumepata makapi bora tutayatumia na oil chafu kuzibia matundu yote yaliyotobolewa na mchwa na kuwaangamiza kabisa.
 
Back
Top Bottom