Wakuu M4C itafika kila mahali
subirini ngoma itatia timu huko
Nimekuwa nikikutana na neno m4c bila kujua maana yako,tafsiri yangu ya haraka inanituma ni movement for changes. Naomba maana wadau wangu wa jf.
Mkuu Nabwada, habari za Nabwada..., sisi huku Chuno tumesha jikabidhi kabandari ketu. Angalizo kwa CDM: Mh Lipumba kesho atarindima Viwanja vya Mashujaa, hawa jamaa wa CUF wanazidi kujenga mizizi huku kusini. Kimsingi CUF itafanikiwa katika hili kwa sababu wananchi wa Mtwara hawana chaguo m'badala, lkn CDM wakitia mkazo huku mjue majimbo ni yetu.Waje watoe Elimu ya Uraia ya kutosha hapa.Tumechukia sana tuliposikia Bandari imeuzwa.Kama ni kulipa deni kwanini wasiiuze ya Dar au yaTanga kwa Nundu?,
Wakuu M4C itafika kila mahali
subirini ngoma itatia timu huko
Wana bodi naomba kujua ile ratiba ya Wakombozi wa Nchi yetu lini CHADEMA watakuja Mtwara?,kuna watu humu jamvini wanatufikiria sisi watu wa huku ni wale ambao wao waliwaacha kile kipindi walipoletwa huku kama adhabu,siyo.
Mkuu hivi bwawa la nabwada bado lipo hai?. Nakuunga mkono mkuu CDM waje ili ukombozi upatikane kwetu huku. CCM wanazidi kuuangamiza mkoa wetu wakati tuna rasilimali za kuweza kuufanya mkoa wenye maendeleo makubwa. Hivi kama yule mhindi anafanya nini bungeni jambazi kama yule??? Ona type yenyewe kama akina Ng'ange, Sinani na huyu mdosi yaani hakuna kitu. Halafu nimeona tuko wengi humu hivi hatuwezi kuanzisha group letu humu?
Wana bodi naomba kujua ile ratiba ya Wakombozi wa Nchi yetu lini CHADEMA watakuja Mtwara?,kuna watu humu jamvini wanatufikiria sisi watu wa huku ni wale ambao wao waliwaacha kile kipindi walipoletwa huku kama adhabu,siyo.
nimekuwa nikikutana na neno m4c bila kujua maana yako,tafsiri yangu ya haraka inanituma ni movement for changes. Naomba maana wadau wangu wa jf.