M4C: Leo wako hapa

Serayamajimbo

Senior Member
Apr 15, 2009
191
38
Nimetoa hii toka kwa mtandao wa Mnyika "M4C: Kwa kipindi cha mwaka mmoja cha utumishi wa umma nimeshuhidia umuhimu wa kuchanganya vyama katika mabaraza ya madiwani katika kuongeza uwajibikaji kwenye usimamizi wa fedha za umma katika serikali za mtaa ambazo ndio zinashughulikia kwa kiwango kikubwa masuala ya maendeleo katika maeneo yetu.

Leo jumamosi 24/03 nitahutubia kwenye kampeni za uchaguzi wa udiwani kata ya vijibweni Manispaa ya Temeke Jimbo la Kigamboni.

Tuunge mkono kwa kuwasiliana Kilewo 0714225960 au 0756091748 kwa ajili ya maelezo na maelekezo. Tushiriki kufanya mabadiliko tunayoyataka."
 
kipatikanacho kijenge chama kuangizia ngazi za chini yaan shina,pia pawepo na udhibiti wa hizo hela ili kuondokana na matumizi mabovu.
 
Nimetoa hii toka kwa mtandao wa Mnyika "M4C: Kwa kipindi cha mwaka mmoja cha utumishi wa umma nimeshuhidia umuhimu wa kuchanganya vyama katika mabaraza ya madiwani katika kuongeza uwajibikaji kwenye usimamizi wa fedha za umma katika serikali za mtaa ambazo ndio zinashughulikia kwa kiwango kikubwa masuala ya maendeleo katika maeneo yetu. Leo jumamosi 24/03 nitahutubia kwenye kampeni za uchaguzi wa udiwani kata ya vijibweni Manispaa ya Temeke Jimbo la Kigamboni. Tuunge mkono kwa kuwasiliana Kilewo 0714225960 au 0756091748 kwa ajili ya maelezo na maelekezo. Tushiriki kufanya mabadiliko tunayoyataka."

Cdm kwa kweli mpo kwa ajili yakuwanyonya watanzania , na si kuwasaidia. Jana mmewakausha pesa zao kwenye fund raising ya Naura Hotel. Leo wengine hata pesa yakunywa chai na familia zao hawana. Mnakuja tena kuwachangisha kwenye huu uchaguzi wa vijibweni. Na hizo pesa nyie mnalipana perdiem, guest na vinywaji, kweli nyie ndio mtaikomboa nchi hii kweli. Cdm acheni ubadhirifu wa fedha, mmeisha fanya hivyo kwa pesa za Sabodo na Ruzuku
 
Cdm kwa kweli mpo kwa ajili yakuwanyonya watanzania , na si kuwasaidia. Jana mmewakausha pesa zao kwenye fund raising ya Naura Hotel. Leo wengine hata pesa yakunywa chai na familia zao hawana. Mnakuja tena kuwachangisha kwenye huu uchaguzi wa vijibweni. Na hizo pesa nyie mnalipana perdiem, guest na vinywaji, kweli nyie ndio mtaikomboa nchi hii kweli. Cdm acheni ubadhirifu wa fedha, mmeisha fanya hivyo kwa pesa za Sabodo na Ruzuku

bora cdm wanawaomba wananchi,je ccm inavyo waibia wananchi kimabavu?
 
cdm kwa kweli mpo kwa ajili yakuwanyonya watanzania , na si kuwasaidia. Jana mmewakausha pesa zao kwenye fund raising ya naura hotel. Leo wengine hata pesa yakunywa chai na familia zao hawana. Mnakuja tena kuwachangisha kwenye huu uchaguzi wa vijibweni. Na hizo pesa nyie mnalipana perdiem, guest na vinywaji, kweli nyie ndio mtaikomboa nchi hii kweli. Cdm acheni ubadhirifu wa fedha, mmeisha fanya hivyo kwa pesa za sabodo na ruzuku


rezo brain at work!!!!
 
Mabadiliko yataletwa na sisi wenyewe jamani, tuache woga na tuseme NO kwa MAGAMBA.
 
Cdm kwa kweli mpo kwa ajili yakuwanyonya watanzania , na si kuwasaidia. Jana mmewakausha pesa zao kwenye fund raising ya Naura Hotel. Leo wengine hata pesa yakunywa chai na familia zao hawana. Mnakuja tena kuwachangisha kwenye huu uchaguzi wa vijibweni. Na hizo pesa nyie mnalipana perdiem, guest na vinywaji, kweli nyie ndio mtaikomboa nchi hii kweli. Cdm acheni ubadhirifu wa fedha, mmeisha fanya hivyo kwa pesa za Sabodo na Ruzuku

Tutachangia mpka mkoma kulinga mlizoea vya kunyonga kuchinja hamwezi magamba. Kinichonifanya nichangie ni imani kubwa waliyonijengea viongozi wa chadema. Hamtaweza kuzuia hii movement maana inagusa mioyo ya ndani ya watanzania.
 
Cdm kwa kweli mpo kwa ajili yakuwanyonya watanzania , na si kuwasaidia. Jana mmewakausha pesa zao kwenye fund raising ya Naura Hotel. Leo wengine hata pesa yakunywa chai na familia zao hawana. Mnakuja tena kuwachangisha kwenye huu uchaguzi wa vijibweni. Na hizo pesa nyie mnalipana perdiem, guest na vinywaji, kweli nyie ndio mtaikomboa nchi hii kweli. Cdm acheni ubadhirifu wa fedha, mmeisha fanya hivyo kwa pesa za Sabodo na Ruzuku

Bahati yako kwaresma haijaisha.
 
Cdm kwa kweli mpo kwa ajili yakuwanyonya watanzania , na si kuwasaidia. Jana mmewakausha pesa zao kwenye fund raising ya Naura Hotel. Leo wengine hata pesa yakunywa chai na familia zao hawana. Mnakuja tena kuwachangisha kwenye huu uchaguzi wa vijibweni. Na hizo pesa nyie mnalipana perdiem, guest na vinywaji, kweli nyie ndio mtaikomboa nchi hii kweli. Cdm acheni ubadhirifu wa fedha, mmeisha fanya hivyo kwa pesa za Sabodo na Ruzuku

Si afadhali Chadema wanaomba watu watoe kwa hiari kuliko CCM wanaolazimisha wafanya biashara kuwachangia kwa vitisho!!!
 
Pamoja sana kaka ushindi unakaribia waache wanoe midomo tumeshawazoea sisi kazi tu viva cdm
 
Back
Top Bottom